< Zaburi 34 >

1 Zaburi ya Daudi, alipojifanya mwendawazimu mbele ya Abimeleki, ambaye alimfukuza, naye akaondoka. Nitamtukuza Bwana nyakati zote, sifa zake zitakuwa midomoni mwangu siku zote.
Af David, da han lod afsindig for Abimelek, og denne jog ham fra sig, og han drog bort.
2 Nafsi yangu itajisifu katika Bwana, walioonewa watasikia na wafurahi.
Jeg vil love HERREN til hver en Tid, hans Pris skal stadig fylde min Mund;
3 Mtukuzeni Bwana pamoja nami, naam, na tulitukuze jina lake pamoja.
min Sjæl skal rose sig af HERREN, de ydmyge skal høre det og glæde sig.
4 Nilimtafuta Bwana naye akanijibu, akaniokoa kwenye hofu zangu zote.
Hylder HERREN i Fællig med mig, lad os sammen ophøje hans Navn!
5 Wale wamtazamao hutiwa nuru, nyuso zao hazifunikwi na aibu kamwe.
Jeg søgte HERREN, og han svarede mig og friede mig fra alle mine Rædsler.
6 Maskini huyu alimwita Bwana, naye akamsikia, akamwokoa katika taabu zake zote.
Se hen til ham og straal af Glæde, eders Aasyn skal ikke beskæmmes.
7 Malaika wa Bwana hufanya kituo akiwazunguka wale wamchao, naye huwaokoa.
Her er en arm, der raabte, og HERREN hørte, af al hans Trængsel frelste han ham.
8 Onjeni mwone kwamba Bwana ni mwema, heri mtu yule anayemkimbilia.
HERRENS Engel slaar Lejr om dem, der frygter ham, og frier dem.
9 Mcheni Bwana enyi watakatifu wake, kwa maana wale wamchao hawapungukiwi na chochote.
Smag og se, at HERREN er god, salig den Mand, der lider paa ham!
10 Wana simba wenye nguvu hutindikiwa na kuona njaa, bali wale wamtafutao Bwana hawatakosa kitu chochote kilicho chema.
Frygter HERREN, I hans hellige, thi de, der frygter ham, mangler intet.
11 Njooni, watoto wangu, mnisikilize, nitawafundisha kumcha Bwana.
Unge Løver lider Nød og sulter, men de, der søger HERREN, dem fattes intet godt.
12 Yeyote kati yenu anayependa uzima na kutamani kuziona siku nyingi njema,
Kom hid, Børnlille, og hør paa mig, jeg vil lære jer HERRENS Frygt.
13 basi auzuie ulimi wake na mabaya, na midomo yake kutokana na kusema uongo.
Om nogen attraar Liv og ønsker sig Dage for at skue Lykke,
14 Aache uovu, atende mema, aitafute amani na kuifuatilia.
saa var din Tunge for ondt, dine Læber fra at tale Svig;
15 Macho ya Bwana huwaelekea wenye haki, na masikio yake yako makini kusikiliza kilio chao.
hold dig fra ondt og øv godt, søg Fred og jag derefter.
16 Uso wa Bwana uko kinyume na watendao maovu, ili kufuta kumbukumbu lao duniani.
paa retfærdige hviler hans Øjne, hans Ører hører deres Raab;
17 Wenye haki hulia, naye Bwana huwasikia, huwaokoa katika taabu zao zote.
Mod dem, der gør ondt, er HERRENS Aasyn for at slette deres Minde af Jorden;
18 Bwana yu karibu na waliovunjika moyo, na huwaokoa waliopondeka roho.
naar de skriger, hører HERREN og frier dem af al deres Trængsel.
19 Mwenye haki ana mateso mengi, lakini Bwana humwokoa nayo yote,
HERREN er nær hos dem, hvis Hjerte er knust, han frelser dem, hvis Aand er brudt.
20 huhifadhi mifupa yake yote, hata mmoja hautavunjika.
Den retfærdiges Lidelser er mange, men HERREN frier ham af dem alle;
21 Ubaya utamuua mtu mwovu, nao adui za mwenye haki watahukumiwa.
han vogter alle hans Ledemod, ikke et eneste brydes.
22 Bwana huwakomboa watumishi wake, yeyote anayemkimbilia yeye hatahukumiwa kamwe.
Ulykke bringer de gudløse Død, og bøde skal de, der hader retfærdige. HERREN forløser sine Tjeneres Sjæl, og ingen, der lider paa ham, skal bøde.

< Zaburi 34 >