< Zaburi 33 >

1 Mwimbieni Bwana kwa furaha, enyi wenye haki; kusifu kunawapasa wanyofu wa moyo.
KOMAIL me pun kan polauleki Ieowa, me lelapok kan en kapina i.
2 Msifuni Bwana kwa kinubi, mwimbieni sifa kwa zeze la nyuzi kumi.
Danke Ieowa o kapikapina ki men kajan o kaule ki on i jal en arp eijok.
3 Mwimbieni wimbo mpya; pigeni kwa ustadi, na mpaze sauti za shangwe.
Kauleki on i kaul kap pot, komail kanai on arp o nil!
4 Maana neno la Bwana ni haki na kweli, ni mwaminifu kwa yote atendayo.
Pwe maj an en Ieowa me inen o a wiawia kan karoj melel.
5 Bwana hupenda uadilifu na haki; dunia imejaa upendo wake usiokoma.
A kin kotin pok on me pun o melel, jappa direki kalanan en Ieowa.
6 Kwa neno la Bwana mbingu ziliumbwa, jeshi lao la angani kwa pumzi ya kinywa chake.
Nanlan wiaui kida majan en Ieowa o audepan a karoj ki nen en jilan i.
7 Ameyakusanya maji ya bahari kama kwenye chungu; vilindi vya bahari ameviweka katika ghala.
A kotin kolekol pena pil en madau dueta nan dal eu, o a kotin nekidala ad akan nan waja rir.
8 Dunia yote na imwogope Bwana, watu wote wa dunia wamche.
Jappa karoj en lan Ieowa o karoj me kaukaujon nan jappa en wauneki i.
9 Kwa maana Mungu alisema, na ikawa, aliamuru na ikasimama imara.
Pwe ma a kotin majanta, ap pan wiaui, o ma a kotin panokada, ap pan miela.
10 Bwana huzuia mipango ya mataifa, hupinga makusudi ya mataifa.
Ieowa kin kotin kawela kapun en men liki kan, o a kin kawukila madamadaua en wei kan.
11 Lakini mipango ya Bwana inasimama imara milele, makusudi ya moyo wake kwa vizazi vyote.
A me Ieowa kileledier, pan duedueta, o me a kotin kupurada, pan kokolata.
12 Heri taifa ambalo Bwana ni Mungu wao, watu ambao aliwachagua kuwa urithi wake.
Meid pai wei o, me Ieowa ar Kot, o wei, me a kotin piladan a jojo.
13 Kutoka mbinguni Bwana hutazama chini na kuwaona wanadamu wote;
Ieowa kin kotin ireron aramaj akan karoj jan nanlan.
14 kutoka maskani mwake huwaangalia wote wakaao duniani:
A kotin ireron karoj, me kaujon jappa jan mol a teneten.
15 yeye ambaye huumba mioyo yao wote, ambaye huangalia kila kitu wanachokitenda.
A kotin wiadar monion arail karoj, o a kotin mani ar wiawia kan karoj.
16 Hakuna mfalme aokokaye kwa ukubwa wa jeshi lake; hakuna shujaa aokokaye kwa wingi wa nguvu zake.
Nanmarki amen jota pan pwai kida a karij toto, o ol komad amen jota pan dore kila a kelail.
17 Farasi ni tumaini la bure kwa wokovu, licha ya nguvu zake nyingi, hawezi kuokoa.
Oj akan pil jota kak jauaja ekij o a kelail melel jota kadepa.
18 Lakini macho ya Bwana yako kwa wale wamchao, kwa wale tumaini lao liko katika upendo wake usio na kikomo,
Kilan, jilan en Ieowa kin ireron on me lan i, o me kaporoporeki a kalanan.
19 ili awaokoe na mauti, na kuwahifadhi wakati wa njaa.
Pwen kapit ir ala jan ni mela o katekatunole ni anjau en lek.
20 Sisi tunamngojea Bwana kwa matumaini, yeye ni msaada wetu na ngao yetu.
Nen atail kin auiaui Ieowa, i me jauaj patail o pere patail.
21 Mioyo yetu humshangilia, kwa maana tunalitumainia jina lake takatifu.
Pwe monion atail kin peren kida i, pwe kitail kin liki mar a jaraui.
22 Upendo wako usio na mwisho ukae juu yetu, Ee Bwana, tunapoliweka tumaini letu kwako.
Main, Ieowa, omui kalanan en mi po at duen at kaporoporeki komui.

< Zaburi 33 >