< Zaburi 33 >

1 Mwimbieni Bwana kwa furaha, enyi wenye haki; kusifu kunawapasa wanyofu wa moyo.
Hai orang-orang saleh, bersoraklah gembira karena apa yang telah dilakukan TUHAN; patutlah orang jujur memuji-muji.
2 Msifuni Bwana kwa kinubi, mwimbieni sifa kwa zeze la nyuzi kumi.
Bersyukurlah kepada TUHAN dengan kecapi, bernyanyilah bagi-Nya dengan iringan musik.
3 Mwimbieni wimbo mpya; pigeni kwa ustadi, na mpaze sauti za shangwe.
Nyanyikanlah lagu baru bagi TUHAN, mainkan kecapi baik-baik dan bersoraklah dengan riang!
4 Maana neno la Bwana ni haki na kweli, ni mwaminifu kwa yote atendayo.
Semua perkataan TUHAN dapat dipercaya; Ia setia dalam segala perbuatan-Nya.
5 Bwana hupenda uadilifu na haki; dunia imejaa upendo wake usiokoma.
Ia mencintai kejujuran dan keadilan; seluruh bumi penuh dengan kasih-Nya.
6 Kwa neno la Bwana mbingu ziliumbwa, jeshi lao la angani kwa pumzi ya kinywa chake.
TUHAN memberi perintah, maka langit tercipta; matahari, bulan dan bintang dijadikan oleh sabda-Nya.
7 Ameyakusanya maji ya bahari kama kwenye chungu; vilindi vya bahari ameviweka katika ghala.
Semua air laut dikumpulkan-Nya di suatu tempat, samudra raya ditahan-Nya di dalam bendungan.
8 Dunia yote na imwogope Bwana, watu wote wa dunia wamche.
Biarlah seluruh bumi takut kepada TUHAN dan penduduk dunia menghormati Dia.
9 Kwa maana Mungu alisema, na ikawa, aliamuru na ikasimama imara.
Sebab Ia bersabda, lalu semuanya dijadikan; Ia memberi perintah, maka semuanya ada.
10 Bwana huzuia mipango ya mataifa, hupinga makusudi ya mataifa.
TUHAN menggagalkan rencana bangsa-bangsa, Ia meniadakan niat mereka.
11 Lakini mipango ya Bwana inasimama imara milele, makusudi ya moyo wake kwa vizazi vyote.
Tetapi rencana TUHAN tetap bertahan, rancangan-Nya teguh sepanjang zaman.
12 Heri taifa ambalo Bwana ni Mungu wao, watu ambao aliwachagua kuwa urithi wake.
Berbahagialah bangsa yang mengakui TUHAN sebagai Allahnya, berbahagialah umat yang dipilih-Nya menjadi milik-Nya!
13 Kutoka mbinguni Bwana hutazama chini na kuwaona wanadamu wote;
Dari surga TUHAN memandang ke bawah, dan Ia melihat seluruh umat manusia.
14 kutoka maskani mwake huwaangalia wote wakaao duniani:
Dari takhta-Nya TUHAN mengamati semua yang mendiami bumi.
15 yeye ambaye huumba mioyo yao wote, ambaye huangalia kila kitu wanachokitenda.
Dialah yang membentuk hati mereka, dan tahu segala perbuatan mereka.
16 Hakuna mfalme aokokaye kwa ukubwa wa jeshi lake; hakuna shujaa aokokaye kwa wingi wa nguvu zake.
Raja tidak menang karena besarnya tentara, prajurit tidak selamat karena kekuatannya.
17 Farasi ni tumaini la bure kwa wokovu, licha ya nguvu zake nyingi, hawezi kuokoa.
Kuda tak dapat diandalkan untuk menang, kekuatannya yang besar tak dapat menyelamatkan.
18 Lakini macho ya Bwana yako kwa wale wamchao, kwa wale tumaini lao liko katika upendo wake usio na kikomo,
TUHAN menjaga orang-orang yang takwa yang mengharapkan kasih-Nya.
19 ili awaokoe na mauti, na kuwahifadhi wakati wa njaa.
Ia menyelamatkan mereka dari maut, dan menghidupi mereka di masa kelaparan.
20 Sisi tunamngojea Bwana kwa matumaini, yeye ni msaada wetu na ngao yetu.
Maka kita berharap kepada TUHAN, Dialah penolong dan pembela kita.
21 Mioyo yetu humshangilia, kwa maana tunalitumainia jina lake takatifu.
Kita bersukaria karena Dia dan percaya kepada nama-Nya yang suci.
22 Upendo wako usio na mwisho ukae juu yetu, Ee Bwana, tunapoliweka tumaini letu kwako.
Semoga kami tetap Kaukasihi, ya TUHAN, sebab kami berharap kepada-Mu.

< Zaburi 33 >