< Zaburi 33 >
1 Mwimbieni Bwana kwa furaha, enyi wenye haki; kusifu kunawapasa wanyofu wa moyo.
to sing righteous in/on/with LORD to/for upright lovely praise
2 Msifuni Bwana kwa kinubi, mwimbieni sifa kwa zeze la nyuzi kumi.
to give thanks to/for LORD in/on/with lyre in/on/with harp ten to sing to/for him
3 Mwimbieni wimbo mpya; pigeni kwa ustadi, na mpaze sauti za shangwe.
to sing to/for him song new be good to play in/on/with shout
4 Maana neno la Bwana ni haki na kweli, ni mwaminifu kwa yote atendayo.
for upright word LORD and all deed: work his in/on/with faithfulness
5 Bwana hupenda uadilifu na haki; dunia imejaa upendo wake usiokoma.
to love: lover righteousness and justice kindness LORD to fill [the] land: country/planet
6 Kwa neno la Bwana mbingu ziliumbwa, jeshi lao la angani kwa pumzi ya kinywa chake.
in/on/with word LORD heaven to make and in/on/with spirit: breath lip his all army their
7 Ameyakusanya maji ya bahari kama kwenye chungu; vilindi vya bahari ameviweka katika ghala.
to gather like/as heap water [the] sea to give: put in/on/with treasure abyss
8 Dunia yote na imwogope Bwana, watu wote wa dunia wamche.
to fear: revere from LORD all [the] land: country/planet from him to dread all to dwell world
9 Kwa maana Mungu alisema, na ikawa, aliamuru na ikasimama imara.
for he/she/it to say and to be he/she/it to command and to stand: stand
10 Bwana huzuia mipango ya mataifa, hupinga makusudi ya mataifa.
LORD to break counsel nation to forbid plot people
11 Lakini mipango ya Bwana inasimama imara milele, makusudi ya moyo wake kwa vizazi vyote.
counsel LORD to/for forever: enduring to stand: stand plot heart his to/for generation and generation
12 Heri taifa ambalo Bwana ni Mungu wao, watu ambao aliwachagua kuwa urithi wake.
blessed [the] nation which LORD God his [the] people to choose to/for inheritance to/for him
13 Kutoka mbinguni Bwana hutazama chini na kuwaona wanadamu wote;
from heaven to look LORD to see: see [obj] all son: child [the] man
14 kutoka maskani mwake huwaangalia wote wakaao duniani:
from foundation to dwell his to gaze to(wards) all to dwell [the] land: country/planet
15 yeye ambaye huumba mioyo yao wote, ambaye huangalia kila kitu wanachokitenda.
[the] to form: formed unitedness heart their [the] to understand to(wards) all deed their
16 Hakuna mfalme aokokaye kwa ukubwa wa jeshi lake; hakuna shujaa aokokaye kwa wingi wa nguvu zake.
nothing [the] king to save in/on/with abundance strength: soldiers mighty man not to rescue in/on/with abundance strength
17 Farasi ni tumaini la bure kwa wokovu, licha ya nguvu zake nyingi, hawezi kuokoa.
deception [the] horse to/for deliverance: salvation and in/on/with abundance strength his not to escape
18 Lakini macho ya Bwana yako kwa wale wamchao, kwa wale tumaini lao liko katika upendo wake usio na kikomo,
behold eye LORD to(wards) afraid his to/for to wait: hope to/for kindness his
19 ili awaokoe na mauti, na kuwahifadhi wakati wa njaa.
to/for to rescue from death soul their and to/for to live them in/on/with famine
20 Sisi tunamngojea Bwana kwa matumaini, yeye ni msaada wetu na ngao yetu.
soul our to wait to/for LORD helper our and shield our he/she/it
21 Mioyo yetu humshangilia, kwa maana tunalitumainia jina lake takatifu.
for in/on/with him to rejoice heart our for in/on/with name holiness his to trust
22 Upendo wako usio na mwisho ukae juu yetu, Ee Bwana, tunapoliweka tumaini letu kwako.
to be kindness your LORD upon us like/as as which to wait: hope to/for you