< Zaburi 32 >

1 Zaburi ya Daudi. Funzo. Heri mtu yule ambaye amesamehewa makosa yake, ambaye dhambi zake zimefunikwa.
Lernyng to Dauid. Blessid ben thei, whose wickidnessis ben foryouun; and whose synnes ben hilid.
2 Heri mtu yule ambaye Bwana hamhesabii dhambi, na ambaye rohoni mwake hamna udanganyifu.
Blessid is the man, to whom the Lord arrettide not synne; nethir gile is in his spirit.
3 Niliponyamaza, mifupa yangu ilichakaa kwa kulia kwa maumivu makali mchana kutwa.
For Y was stille, my boonys wexiden elde; while Y criede al dai.
4 Usiku na mchana mkono wako ulinilemea, nguvu zangu zilinyonywa kama vile katika joto la kiangazi.
For bi dai and nyyt thin `hond was maad greuouse on me; Y am turned in my wretchednesse, while the thorn is set in.
5 Kisha nilikujulisha dhambi yangu wala sikuficha uovu wangu. Nilisema, “Nitaungama makosa yangu kwa Bwana.” Ndipo uliponisamehe hatia ya dhambi yangu.
I made my synne knowun to thee; and Y hidde not my vnriytfulnesse. I seide, Y schal knouleche ayens me myn vnriytfulnesse to the Lord; and thou hast foryoue the wickidnesse of my synne.
6 Kwa hiyo kila mtu mcha Mungu akuombe wakati unapopatikana, hakika maji makuu yatakapofurika hayatamfikia yeye.
For this thing ech hooli man schal preye to thee; in couenable tyme. Netheles in the greet flood of many watris; tho schulen not neiye to thee.
7 Wewe ndiwe mahali pangu pa kujificha, utaniepusha na taabu na kunizunguka kwa nyimbo za wokovu.
Thou art my refuyt fro tribulacioun, that cumpasside me; thou, my fulli ioiyng, delyuere me fro hem that cumpassen me.
8 Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea; nitakushauri na kukuangalia.
Y schal yyue vnderstondyng to thee, and Y schal teche thee; in this weie in which thou schalt go, Y schal make stidefast myn iyen on thee.
9 Usiwe kama farasi au nyumbu wasio na akili, ambao ni lazima waongozwe kwa lijamu na hatamu la sivyo hawatakukaribia.
Nile ye be maad as an hors and mule; to whiche is noon vndurstondyng. Lord, constreyne thou the chekis of hem with a bernacle and bridil; that neiyen not to thee.
10 Mtu mwovu ana taabu nyingi, bali upendo usio na kikomo wa Bwana unamzunguka mtu anayemtumaini.
Many betyngis ben of the synnere; but merci schal cumpasse hym that hopith in the Lord.
11 Shangilieni katika Bwana na mfurahi, enyi wenye haki! Imbeni, nyote mlio wanyofu wa moyo!
Ye iust men, be glad, and make fulli ioie in the Lord; and alle ye riytful of herte, haue glorie.

< Zaburi 32 >