< Zaburi 32 >
1 Zaburi ya Daudi. Funzo. Heri mtu yule ambaye amesamehewa makosa yake, ambaye dhambi zake zimefunikwa.
Nowa dunu ilima Hina Gode da ea wadela: i hou gogolema: ne olofoi dagoi, ilia da hahawane gala.
2 Heri mtu yule ambaye Bwana hamhesabii dhambi, na ambaye rohoni mwake hamna udanganyifu.
Nowa dunu da ogogosu hame dawa: amola wadela: i hou hame hamobeba: le, Hina Gode da ema diwane hame udidisa, amo dunu da hahawane gala.
3 Niliponyamaza, mifupa yangu ilichakaa kwa kulia kwa maumivu makali mchana kutwa.
Na da na wadela: i hou hame sisane fofada: i ganiaba, amogalu na da eso huluane dini ianu, na da: i da gasa hame ba: i.
4 Usiku na mchana mkono wako ulinilemea, nguvu zangu zilinyonywa kama vile katika joto la kiangazi.
Hina Gode! Di da nama hayoga amola gasia nama se bidi iasu. Hano da odega esoi amoga hafoga: sa amo defele, na gasa huluane da gogaea: i ba: i.
5 Kisha nilikujulisha dhambi yangu wala sikuficha uovu wangu. Nilisema, “Nitaungama makosa yangu kwa Bwana.” Ndipo uliponisamehe hatia ya dhambi yangu.
Amalalu, na da na wadela: i hou amo Dima sisane fofada: i. Na wadela: i hou huluane, na da Dima hame dedeboi. Na da huluane Dima sisane fofada: musa: dawa: i. Amola Di da amo wadela: i hou huluane gogolema: ne olofoi.
6 Kwa hiyo kila mtu mcha Mungu akuombe wakati unapopatikana, hakika maji makuu yatakapofurika hayatamfikia yeye.
Amaiba: le, Dima mae fisili dafawaneyale dawa: su dunu da bidi hamosu ba: sea, Dia fidima: ne sia: ne gadomu da defea. Amasea, bidi hamosu da hano heda: i defele manebe ba: sea, amo da ilima hame doaga: mu.
7 Wewe ndiwe mahali pangu pa kujificha, utaniepusha na taabu na kunizunguka kwa nyimbo za wokovu.
Di da na wamoaligisu sogebi agoai gala. Bidi hamosu da nama mae doaga: ma: ne, Di da na gaga: mu. Na da Dia gaga: su hou dawa: beba: le, ha: giwane gesami hea: sa. Bai Di da na gaga: lala.
8 Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea; nitakushauri na kukuangalia.
Hina Gode da amane sia: sa, “Na da dia masunu logo agoane masa: ne olelemu. Na da dima dawa: digima: ne sisasu olelemu.
9 Usiwe kama farasi au nyumbu wasio na akili, ambao ni lazima waongozwe kwa lijamu na hatamu la sivyo hawatakukaribia.
Hosi amola ‘miule’ da gagaoui agoane. Dunu da ili dawa: digima: ne, gula misili amoga adonana ahoa. Be amo defele, dilia gagaoulewane mae hamoma.”
10 Mtu mwovu ana taabu nyingi, bali upendo usio na kikomo wa Bwana unamzunguka mtu anayemtumaini.
Wadela: i hamosu dunu da se nabasu ba: mu. Be dunu amo da Hina Godema dafawaneyale dawa: sa, amo da Ea mae fisili asigidafa hou amoga gaga: i dagoi ba: sa.
11 Shangilieni katika Bwana na mfurahi, enyi wenye haki! Imbeni, nyote mlio wanyofu wa moyo!
Dilia moloidafa dunu! Obenane amola hahawane nodoma! Bai Hina Gode Ea hamoi da noga: idafa. Ema nabasu dunu, dilia! Hahawaneba: le, wele sia: ma!