< Zaburi 31 >

1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, nimekukimbilia wewe, usiache nikaaibika kamwe, kwa haki yako uniokoe.
David kah Tingtoenglung neh aka mawt ham. BOEIPA nang dongah ka ying tih kumhal duela yah sak boeh. Na duengnah neh kai n'hlawt lah.
2 Nitegee sikio lako, uje uniokoe haraka; uwe kwangu mwamba wa kimbilio, ngome imara ya kuniokoa.
Na hna te kai taengah rhep duen lamtah kai he tlek n'huul lah. Kai ham lunghim lungpang la, kai aka khang ham rhalvong im la om lah.
3 Kwa kuwa wewe ni mwamba wangu na ngome yangu, uniongoze na kunilinda kwa ajili ya jina lako.
Nang tah ka thaelpang neh ka rhalvong ni. Te dongah namah ming ham kai nan mawt tih nan khool.
4 Uniepushe na mtego niliotegewa, maana wewe ndiwe kimbilio langu.
Namah te ka lunghim coeng dongah kai ham a tung uh lawk lamkah te nan doek.
5 Ninaikabidhi roho yangu mikononi mwako, unikomboe Ee Bwana, uliye Mungu wa kweli.
Ka mueihla he na kut ah kan hlah tih oltak Pathen BOEIPA loh kai he nan lat.
6 Ninawachukia wale wanaongʼangʼania sanamu batili; mimi ninamtumaini Bwana.
A poeyoek la a honghi aka ngaithuen khaw ka hmuhuet tih kai tah BOEIPA ni ka pangtung.
7 Nitafurahia na kushangilia upendo wako, kwa kuwa uliona mateso yangu na ulijua maumivu ya nafsi yangu.
Namah kah sitlohnah neh kai kah phacip phabaem te nan hmuh tih ka hinglu kah citcai te nan ming dongah ka omngaih vetih ka kohoe ni.
8 Hukunikabidhi kwa adui yangu bali umeiweka miguu yangu mahali penye nafasi.
Te dongah kai he thunkha kut ah nan tloeng mueh la ka kho he a hoengpoeknah ah nan sut.
9 Ee Bwana unihurumie, kwa kuwa niko kwenye shida; macho yangu yanafifia kwa huzuni, nafsi yangu na mwili wangu kwa sikitiko.
Konoinah dongah ka mik, ka hinglu neh ka bungko hmawn tih puen ka cak dongah kai n'rhen dae BOEIPA.
10 Maisha yangu yamedhoofika kwa majonzi, naam, miaka yangu kwa kulia kwa maumivu makali; nguvu zangu zinaisha kwa ajili ya mateso, na mifupa yangu inachakaa.
Ka hingnah he kothae loh a ngawn tih ka hueinah neh ka kum thok. Kamah kathaesainah dongah ka thadueng yaai tih ka rhuh hmawn. Te vaengah tol long ah kai aka hmu kamah hmaiben rhoek te kai lamloh birhihnah neh yong uh.
11 Kwa sababu ya adui zangu wote, nimedharauliwa kabisa na jirani zangu, hata kwa rafiki zangu nimekuwa tisho, wale wanionao barabarani hunikimbia.
Kamah puencak dongah hlang boeih neh ka imben kah kokhahnah la mat ka om.
12 Nimesahaulika miongoni mwao kama mtu aliyekufa, nimekuwa kama chombo cha mfinyanzi kilichovunjika.
Duek tangtae bangla a lungbuei ah kai n'hnilh. Am poo bangla ka om.
13 Kwa maana nimesikia maneno niliyosingiziwa na wengi; vitisho viko pande zote; kwa kuwa wamefanya mashauri dhidi yangu, na kula njama kuniua.
theetnah he kaepvai ah rhihnah la muep ka yaak. Amih te kai soah tingtun tih, ka hinglu loh hamla a mangtaeng uh.
14 Lakini mimi ninakutumaini wewe peke yako, Ee Bwana; nimesema, “Wewe ndiwe Mungu wangu.”
Tedae kai tah BOEIPA nang dongah ka pangtung tih nang te ka Pathen ni ka ti.
15 Siku za maisha yangu ziko mikononi mwako, uniokoe mikononi mwa adui zangu na wale wanifuatiao.
Ka khohnin he na kut dongah om. Ka thunkha kut neh kai aka hloem kut lamkah kai n'huul lah.
16 Mwangazie mtumishi wako uso wako, uniokoe kwa ajili ya upendo wako usiokoma.
Na sal taengah na maelhmai te han sae sak lah. Na sitlohnah neh kai n'khang lah.
17 Usiniache niaibike, Ee Bwana, kwa maana nimekulilia wewe, bali waovu waaibishwe na kunyamazishwa Kuzimu. (Sheol h7585)
BOEIPA nang kan khue vaengah yah m'poh sak boeh. Halang rhoek te yahpok saeh lamtah saelkhui la duem uh saeh. (Sheol h7585)
18 Midomo yao isemayo uongo na inyamazishwe, kwa maana kwa kiburi na dharau wao husema kwa majivuno dhidi ya wenye haki.
Hlang dueng te hoemnah neh nueihbu la a hong aka thui mangkhak rhoek loh a kam khom saeh.
19 Tazama jinsi ulivyo mkuu wema wako, uliowawekea akiba wakuchao, ambao huwapa wale wakukimbiliao machoni pa watu.
Namah aka rhih rhoek ham na khoem pah tih hlang capa rhoek hmuh ah namah dongla aka ying rhoek ham na saii pah na thennah he bahoeng len.
20 Unawahifadhi katika uvuli wa uwepo wako kutokana na hila za wanadamu; katika makao yako huwaweka salama kutokana na ndimi za mashtaka.
Hlang kah tangkhuepnah lamkah na hmai kah a huephael ah amih te na thuh. Tuituknah ol lamkah pohlip ah amih te na khoem.
21 Atukuzwe Bwana, kwa kuwa amenionyesha upendo wake wa ajabu nilipokuwa katika mji uliozingirwa.
Khopuei vongup khuiah kai ham a sitlohnah khobaerhambae la a tueng dongah BOEIPA tah a yoethen pai.
22 Katika hofu yangu nilisema, “Nimekatiliwa mbali na macho yako!” Hata hivyo ulisikia kilio changu ukanihurumia nilipokuita unisaidie.
Te dongah ka tamto vaengah, “Na mikhmuh lamkah ka pat coeng,” ka ti. Tedae namah taengla ka pang vaengah ka huithuinah ol nan yaak.
23 Mpendeni Bwana ninyi watakatifu wake wote! Bwana huwahifadhi waaminifu, lakini wenye kiburi huwalipiza kikamilifu.
Amah kah hlangcim rhoek boeih loh BOEIPA te lungnah uh lah. Oltak te BOEIPA loh a kueinah tih hoemnah aka saii te a khawk la a thuung.
24 Kuweni hodari na mjipe moyo, ninyi nyote mnaomtumaini Bwana.
BOEIPA dongah aka ngaiuep boeih loh thahuel uh lamtah na thinko cak sakuh.

< Zaburi 31 >