< Zaburi 30 >

1 Utenzi wa kuweka wakfu hekalu. Zaburi ya Daudi. Nitakutukuza wewe, Ee Bwana, kwa kuwa umeniinua kutoka vilindi, na hukuacha adui zangu washangilie juu yangu.
Honjoneko irehe ry Iehovà, ami’ty nañongaha’o ahy, vaho tsy napo’o hitohàke amako o rafelahikoo.
2 Ee Bwana, Mungu wangu, nilikuita unisaidie na wewe umeniponya.
Ry Iehovà, Andrianañahareko, nitoreovako le jinanga’o;
3 Ee Bwana, umenitoa Kuzimu, umeniokoa nisishuke kwenye shimo la mauti. (Sheol h7585)
Ry Iehovà, naonjo’o boak’ an-tsikeokeok’ ao ty fiaiko; nahatam-beloñe ahy irehe tsy hizotsoako mb’an-koboñe ao. (Sheol h7585)
4 Mwimbieni Bwana, enyi watakatifu wake; lisifuni jina lake takatifu.
Sabò t’Iehovà, ry ondaty noro’eo, andriaño i tahina’e masiñey.
5 Kwa maana hasira yake ni ya muda mfupi, bali upendo wake hudumu siku zote. Inawezekana kilio kiwepo usiku kucha, lakini asubuhi kukawa na furaha.
Amy te aniany avao ty haviñera’e, pak’an-kaveloñe heneke ty fañosiha’e; mete mahaporea’ ty maraindray ty firovetañe, fe ho tendreke maraiñe ty firebehañe.
6 Nilipofanikiwa nilisema, “Sitatikiswa kamwe.”
Le hoe iraho, te niraorao: tsim-bia hasiotse.
7 Ee Bwana, uliponijalia, uliuimarisha mlima wangu, lakini ulipouficha uso wako nilifadhaika.
Ry Iehovà, ty fañisoha’o ro nampijadoña’o i vohikoy; ie naeta’o ty lahara’o le nimarimarike.
8 Kwako wewe, Ee Bwana, niliita, kwa Bwana niliomba rehema:
Ihe ry Iehovà ty nikoihako, naho i Talè ty nihalaliako;
9 “Kuna faida gani katika kuangamia kwangu? Katika kushuka kwangu shimoni? Je, mavumbi yatakusifu? Je, yatatangaza uaminifu wako?
Ino ty tombo’e amo liokoo, t’ie higodoñe mb’an-koboñe ao? Hibango Azo hao o debokeo? Ho talilie’e hao ty figahiña’o?
10 Ee Bwana, unisikie na kunihurumia, Ee Bwana, uwe msaada wangu.”
Janjiño ry Iehovà, le tretrezo iraho, ry Iehovà, vaho imbao!
11 Uligeuza maombolezo yangu kuwa kucheza, ulinivua nguo za gunia ukanivika shangwe,
Nafote’o ho tsinjake o fandalakoo; hinalo’o amako o gonikoo, vaho sinaro’o hafaleañe,
12 ili moyo wangu uweze kukusifu na usikae kimya. Ee Bwana Mungu wangu, nitakushukuru milele.
Soa te hisabo Azo ty engeko le tsy hitsiñe; Ry Iehovà, Andrianañahareko, handriañeko nainai’e.

< Zaburi 30 >