< Zaburi 30 >
1 Utenzi wa kuweka wakfu hekalu. Zaburi ya Daudi. Nitakutukuza wewe, Ee Bwana, kwa kuwa umeniinua kutoka vilindi, na hukuacha adui zangu washangilie juu yangu.
Hina Gode! Na da Dima nodosa! Bai Dia da na gaga: i dagoiba: le. Amola Di da nama ha lai dunu ilia nama hidale habosesesu logo hedofai dagoi.
2 Ee Bwana, Mungu wangu, nilikuita unisaidie na wewe umeniponya.
Na Hina Gode! Na da Dia fidima: ne Dima dini i. Amola Di da na uhinisi dagoi.
3 Ee Bwana, umenitoa Kuzimu, umeniokoa nisishuke kwenye shimo la mauti. (Sheol )
Di da na bogosa: besa: le gaga: i dagoi. Na da bogosu hagudu amoga ahoanu galu, be Di da na bu esaloma: ne hamoi. (Sheol )
4 Mwimbieni Bwana, enyi watakatifu wake; lisifuni jina lake takatifu.
Hina Gode Ea mae fisili dafawaneyale dawa: su dunu, dilia! Hina Godema nodone Gesami hea: ma! Hadigi Gode Ea hamoi amo dawa: beba: le, Ema nodone sia: ma.
5 Kwa maana hasira yake ni ya muda mfupi, bali upendo wake hudumu siku zote. Inawezekana kilio kiwepo usiku kucha, lakini asubuhi kukawa na furaha.
Ea ougisu hou da wahamusu diala. Be Ea noga: idafa asigi hou da gebewane dialumu. Gasi ganodini, si hano da dalumu. Be soge hadigisia, hahawane hou da doaga: mu.
6 Nilipofanikiwa nilisema, “Sitatikiswa kamwe.”
Na da gaga: i dagoi dawa: beba: le, nisu amane sia: i, “Na da enoga hamedafa hasalimu.”
7 Ee Bwana, uliponijalia, uliuimarisha mlima wangu, lakini ulipouficha uso wako nilifadhaika.
Hina Gode! Di da nama hahawane hamosu. Di da nama goumi da: iya gagili sali diasu agoane galu. Be amalu Di da na, Di mae ba: ma: ne, wamoaligimusa: asi. Amola na da beda: i galu.
8 Kwako wewe, Ee Bwana, niliita, kwa Bwana niliomba rehema:
Hina Gode! Na da Dima wele sia: i. Na da Dia na fidima: ne edegei.
9 “Kuna faida gani katika kuangamia kwangu? Katika kushuka kwangu shimoni? Je, mavumbi yatakusifu? Je, yatatangaza uaminifu wako?
Na da bogosea, adi bidi da doaga: ma: bela: ? Na da bogole, uli dogosea, adi bidi da doaga: ma: bela: ? Bogoi dunu da Dima nodone sia: mu dawa: sala: ? Ilia da Dia mae fisili noga: idafa hou amo eno dunuma olelemu dawa: sala: ? Hame mabu!
10 Ee Bwana, unisikie na kunihurumia, Ee Bwana, uwe msaada wangu.”
Hina Gode! Na sia: nabima! Nama asigima! Hina Gode! Na fidima!
11 Uligeuza maombolezo yangu kuwa kucheza, ulinivua nguo za gunia ukanivika shangwe,
Di da na da: i diosu hou afadenene, nodone gosa: le iasu hamoi. Di da na da: i dioi hou fadegale fasili amola hahawane hou amoga na sisiga: lesi.
12 ili moyo wangu uweze kukusifu na usikae kimya. Ee Bwana Mungu wangu, nitakushukuru milele.
Amaiba: le, na da hame ouya: i dialumu. Na da Dima nodone gesami hea: su hamomu. Hina Gode! Di da na Godedafa! Na da gebewane dima nodone sisia: ahoanumu.