< Zaburi 3 >
1 Zaburi ya Daudi. Alipomkimbia mwanawe Absalomu. Ee Bwana, tazama adui zangu walivyo wengi! Ni wengi kiasi gani wanaoinuka dhidi yangu!
Salmo de David, cuando huía de delante de Absalón su hijo. ¡ Oh SEÑOR, cuánto se han multiplicado mis enemigos! Muchos se levantan contra mí.
2 Wengi wanasema juu yangu, “Mungu hatamwokoa.”
Muchos dicen de mi alma: No hay para él salud en Dios. (Selah)
3 Lakini wewe, Ee Bwana, ni ngao pande zote; umeniwekea utukufu na kuinua kichwa changu.
Mas tú, el SEÑOR, eres escudo por mí; mi gloria, y el que ensalza mi cabeza.
4 Ninamlilia Bwana kwa sauti kuu, naye ananijibu kutoka mlima wake mtakatifu.
Con mi voz clamé al SEÑOR, y él me respondió desde el monte de su santidad. (Selah)
5 Ninajilaza na kupata usingizi; naamka tena, kwa maana Bwana hunitegemeza.
Yo me acosté, y dormí, y desperté; porque el SEÑOR me sustentaba.
6 Sitaogopa makumi elfu ya adui, wanaojipanga dhidi yangu kila upande.
No temeré de diez millares de gente, que pusieren cerco contra mí.
7 Ee Bwana, amka! Niokoe, Ee Mungu wangu! Wapige adui zangu wote kwenye taya, vunja meno ya waovu.
Levántate, SEÑOR; sálvame, Dios mío; porque tú heriste a todos mis enemigos en la quijada; los dientes de los malos quebraste.
8 Kwa maana wokovu watoka kwa Bwana. Baraka yako na iwe juu ya watu wako.
Del SEÑOR es la salud: Sobre tu pueblo será tu bendición. (Selah)