< Zaburi 3 >

1 Zaburi ya Daudi. Alipomkimbia mwanawe Absalomu. Ee Bwana, tazama adui zangu walivyo wengi! Ni wengi kiasi gani wanaoinuka dhidi yangu!
Psalm Davidov, ko je bežal pred Absalomom, sinom svojim. Gospod, koliko je sovražnikov mojih, koliko jih vstaja proti meni!
2 Wengi wanasema juu yangu, “Mungu hatamwokoa.”
Koliko jih govori za dušo mojo: Ni je pomoči njej v Bogu nobene.
3 Lakini wewe, Ee Bwana, ni ngao pande zote; umeniwekea utukufu na kuinua kichwa changu.
Ti pa, Gospod, ščit si meni, slava moja, in glavo mojo vzdiguješ.
4 Ninamlilia Bwana kwa sauti kuu, naye ananijibu kutoka mlima wake mtakatifu.
Z glasom svojim vpijočemu v Gospoda odgovoril mi je z gore svetosti svoje.
5 Ninajilaza na kupata usingizi; naamka tena, kwa maana Bwana hunitegemeza.
Jaz sem ležal in spal, zbudil sem se, ker Gospod me podpira.
6 Sitaogopa makumi elfu ya adui, wanaojipanga dhidi yangu kila upande.
Ne bodem se bal ljudstva tisočin, katere bodo okrog razpostavili proti meni.
7 Ee Bwana, amka! Niokoe, Ee Mungu wangu! Wapige adui zangu wote kwenye taya, vunja meno ya waovu.
Vstani, Gospod; reši me, moj Bog, ki si udaril vse sovražnike moje po čeljusti, zobe zdrobil krivičnim.
8 Kwa maana wokovu watoka kwa Bwana. Baraka yako na iwe juu ya watu wako.
Gospodovo je rešenje; nad ljudstvom tvojim blagoslov tvoj!

< Zaburi 3 >