< Zaburi 3 >
1 Zaburi ya Daudi. Alipomkimbia mwanawe Absalomu. Ee Bwana, tazama adui zangu walivyo wengi! Ni wengi kiasi gani wanaoinuka dhidi yangu!
Um salmo de David, quando ele fugiu de Absalom, seu filho. Yahweh, como aumentaram os meus adversários! Muitos são aqueles que se levantam contra mim.
2 Wengi wanasema juu yangu, “Mungu hatamwokoa.”
Muitos são os que dizem de minha alma, “Não há ajuda para ele em Deus”. (Selah)
3 Lakini wewe, Ee Bwana, ni ngao pande zote; umeniwekea utukufu na kuinua kichwa changu.
Mas você, Yahweh, é um escudo ao meu redor, minha glória, e aquele que me levanta a cabeça.
4 Ninamlilia Bwana kwa sauti kuu, naye ananijibu kutoka mlima wake mtakatifu.
Eu choro a Yahweh com minha voz, e ele me responde fora de sua colina sagrada. (Selah)
5 Ninajilaza na kupata usingizi; naamka tena, kwa maana Bwana hunitegemeza.
Eu me deitei e dormi. Eu despertei, pois Yahweh me sustenta.
6 Sitaogopa makumi elfu ya adui, wanaojipanga dhidi yangu kila upande.
Eu não terei medo de dezenas de milhares de pessoas que se colocaram contra mim de todos os lados.
7 Ee Bwana, amka! Niokoe, Ee Mungu wangu! Wapige adui zangu wote kwenye taya, vunja meno ya waovu.
Arise, Yahweh! Salve-me, meu Deus! Pois você atingiu todos os meus inimigos no osso da bochecha. Você quebrou os dentes dos malvados.
8 Kwa maana wokovu watoka kwa Bwana. Baraka yako na iwe juu ya watu wako.
A salvação pertence a Yahweh. Que sua bênção seja para o seu povo. (Selah)