< Zaburi 3 >

1 Zaburi ya Daudi. Alipomkimbia mwanawe Absalomu. Ee Bwana, tazama adui zangu walivyo wengi! Ni wengi kiasi gani wanaoinuka dhidi yangu!
Salmo di Davide quando fuggiva il figlio Assalonne. Signore, quanti sono i miei oppressori! Molti contro di me insorgono.
2 Wengi wanasema juu yangu, “Mungu hatamwokoa.”
Molti di me vanno dicendo: «Neppure Dio lo salva!».
3 Lakini wewe, Ee Bwana, ni ngao pande zote; umeniwekea utukufu na kuinua kichwa changu.
Ma tu, Signore, sei mia difesa, tu sei mia gloria e sollevi il mio capo.
4 Ninamlilia Bwana kwa sauti kuu, naye ananijibu kutoka mlima wake mtakatifu.
Al Signore innalzo la mia voce e mi risponde dal suo monte santo.
5 Ninajilaza na kupata usingizi; naamka tena, kwa maana Bwana hunitegemeza.
Io mi corico e mi addormento, mi sveglio perché il Signore mi sostiene.
6 Sitaogopa makumi elfu ya adui, wanaojipanga dhidi yangu kila upande.
Non temo la moltitudine di genti che contro di me si accampano.
7 Ee Bwana, amka! Niokoe, Ee Mungu wangu! Wapige adui zangu wote kwenye taya, vunja meno ya waovu.
Sorgi, Signore, salvami, Dio mio. Hai colpito sulla guancia i miei nemici, hai spezzato i denti ai peccatori.
8 Kwa maana wokovu watoka kwa Bwana. Baraka yako na iwe juu ya watu wako.
Del Signore è la salvezza: sul tuo popolo la tua benedizione.

< Zaburi 3 >