< Zaburi 3 >

1 Zaburi ya Daudi. Alipomkimbia mwanawe Absalomu. Ee Bwana, tazama adui zangu walivyo wengi! Ni wengi kiasi gani wanaoinuka dhidi yangu!
O Yahweh, anian a nagadu dagiti kabusorko! Adu ti timmallikud ken nangraut kaniak.
2 Wengi wanasema juu yangu, “Mungu hatamwokoa.”
Adu dagiti mangibagbaga maipanggep kaniak, “Awan ti tulong a maipaay kenkuana manipud iti Dios.” (Selah)
3 Lakini wewe, Ee Bwana, ni ngao pande zote; umeniwekea utukufu na kuinua kichwa changu.
Ngem sika, O Yahweh, ket kalasag iti aglawlawko, dayagko, ken mangparparegta kaniak.
4 Ninamlilia Bwana kwa sauti kuu, naye ananijibu kutoka mlima wake mtakatifu.
Umawagak kenni Yahweh, ket sungbatannak manipud iti nasantoan a turodna. (Selah)
5 Ninajilaza na kupata usingizi; naamka tena, kwa maana Bwana hunitegemeza.
Nagiddaak ket nakaturogak; nagriingak, ta silanaknibannak ni Yahweh.
6 Sitaogopa makumi elfu ya adui, wanaojipanga dhidi yangu kila upande.
Saanak nga agbuteng kadagiti rineprep a tattao iti aglawlawko a bumusor kaniak.
7 Ee Bwana, amka! Niokoe, Ee Mungu wangu! Wapige adui zangu wote kwenye taya, vunja meno ya waovu.
Bumangonka, O Yahweh! Isalakannak, Diosko! Ta kabilem dagiti amin a kabusorko kadagiti pangada; pusiem dagiti ngipen dagiti nadangkes.
8 Kwa maana wokovu watoka kwa Bwana. Baraka yako na iwe juu ya watu wako.
Aggapu kenni Yahweh ti pannakaisalakan. Adda koma kadagiti tattaom ti bendisionmo. (Selah)

< Zaburi 3 >