< Zaburi 3 >

1 Zaburi ya Daudi. Alipomkimbia mwanawe Absalomu. Ee Bwana, tazama adui zangu walivyo wengi! Ni wengi kiasi gani wanaoinuka dhidi yangu!
(En Salme af David, da han flygtede for sin søn Absalom.) HERRE, hvor er mine Fjender mange! Mange er de, som rejser sig mod mig,
2 Wengi wanasema juu yangu, “Mungu hatamwokoa.”
mange, som siger om min Sjæl: "Der er ingen Frelse for ham hos Gud!" (Sela)
3 Lakini wewe, Ee Bwana, ni ngao pande zote; umeniwekea utukufu na kuinua kichwa changu.
Men, HERRE, du er et Skjold for mig, min Ære og den, der løfter mit Hoved.
4 Ninamlilia Bwana kwa sauti kuu, naye ananijibu kutoka mlima wake mtakatifu.
Jeg råber højlydt til HERREN, han svarer mig fra sit hellige Bjerg. (Sela)
5 Ninajilaza na kupata usingizi; naamka tena, kwa maana Bwana hunitegemeza.
Jeg lagde mig og sov ind, jeg vågned, thi HERREN holder mig oppe.
6 Sitaogopa makumi elfu ya adui, wanaojipanga dhidi yangu kila upande.
Jeg frygter ikke Titusinder af Folk, som trindt om lejrer sig mod mig.
7 Ee Bwana, amka! Niokoe, Ee Mungu wangu! Wapige adui zangu wote kwenye taya, vunja meno ya waovu.
Rejs dig, HERRE, frels mig, min Gud, thi alle mine Fjender slog du på Kind, du brød de gudløses Tænder!
8 Kwa maana wokovu watoka kwa Bwana. Baraka yako na iwe juu ya watu wako.
Hos HERREN er Frelsen; din Velsignelse over dit Folk! (Sela)

< Zaburi 3 >