< Zaburi 3 >
1 Zaburi ya Daudi. Alipomkimbia mwanawe Absalomu. Ee Bwana, tazama adui zangu walivyo wengi! Ni wengi kiasi gani wanaoinuka dhidi yangu!
En Psalme af David; der han flyede for Absaloms, sin Søns, Ansigt.
2 Wengi wanasema juu yangu, “Mungu hatamwokoa.”
Herre! hvor ere mine Fjender mange! Mange staa op imod mig.
3 Lakini wewe, Ee Bwana, ni ngao pande zote; umeniwekea utukufu na kuinua kichwa changu.
Mange sige til min Sjæl: Han har ingen Frelse hos Gud. (Sela)
4 Ninamlilia Bwana kwa sauti kuu, naye ananijibu kutoka mlima wake mtakatifu.
Men du, Herre! er et Skjold for mig, min Ære, og den, der opløfter mit Hoved.
5 Ninajilaza na kupata usingizi; naamka tena, kwa maana Bwana hunitegemeza.
Jeg raaber til Herren med min Røst, og han bønhører mig fra sit hellige Bjerg. (Sela)
6 Sitaogopa makumi elfu ya adui, wanaojipanga dhidi yangu kila upande.
Jeg lagde mig og sov; jeg opvaagnede, thi Herren opholder mig.
7 Ee Bwana, amka! Niokoe, Ee Mungu wangu! Wapige adui zangu wote kwenye taya, vunja meno ya waovu.
Jeg vil ikke frygte for ti Tusinde af Folk, som have lagt sig trindt omkring imod mig.
8 Kwa maana wokovu watoka kwa Bwana. Baraka yako na iwe juu ya watu wako.
Staa op, Herre! frels mig, min Gud! thi du har slaget alle mine Fjender paa Kinden; du har sønderbrudt de ugudeliges Tænder. Hos Herren er Frelsen; din Velsignelse være over dit Folk! (Sela)