< Zaburi 3 >

1 Zaburi ya Daudi. Alipomkimbia mwanawe Absalomu. Ee Bwana, tazama adui zangu walivyo wengi! Ni wengi kiasi gani wanaoinuka dhidi yangu!
Hina Gode! Nama ha lai dunu da bagohame gala. Dunu bagohamedafa da nama ougiwane ba: sa.
2 Wengi wanasema juu yangu, “Mungu hatamwokoa.”
Ilia na hou adoda amola amane sia: sa, “Amo dunu da Gode Ea fidisu hame ba: mu.”
3 Lakini wewe, Ee Bwana, ni ngao pande zote; umeniwekea utukufu na kuinua kichwa changu.
Be Di, Hina Gode! Di da mae fisili, na da: igene ga: su defele na gaga: sa. Di da nama hasalasisu hou iaha, amola na dogo denesisa.
4 Ninamlilia Bwana kwa sauti kuu, naye ananijibu kutoka mlima wake mtakatifu.
Na da Hina Godema wele sia: sa. Amola E da Ea sema agolo amoga nama defele noga: le adole iaha.
5 Ninajilaza na kupata usingizi; naamka tena, kwa maana Bwana hunitegemeza.
Na diasa: ili gasia golai dialoba, amola gasi huluane ganodini, Hina Gode da na gaga: sa.
6 Sitaogopa makumi elfu ya adui, wanaojipanga dhidi yangu kila upande.
Nama ha lai dunu osea: idafa da na dialebe guba: le sisiga: i ba: sa. Be na da ilima hame beda: i.
7 Ee Bwana, amka! Niokoe, Ee Mungu wangu! Wapige adui zangu wote kwenye taya, vunja meno ya waovu.
Hina Gode misa! Na Gode! Na gaga: ma! Di da nama ha lai dunu ilima se iaha. Ilia da gasa hameba: le nama se imunu da hamedei ba: sa.
8 Kwa maana wokovu watoka kwa Bwana. Baraka yako na iwe juu ya watu wako.
Hina Gode Hi fawane da hasalasu hou iaha. E da Ea fi dunu amo hahawane dogolegele fidimu da defea.

< Zaburi 3 >