< Zaburi 29 >

1 Zaburi ya Daudi. Mpeni Bwana, enyi mashujaa, mpeni Bwana utukufu na nguvu.
Bigbigenyo a ni Yahweh - dakayo nga annak ti nabileg - bigbigenyo nga addaan ni Yahweh iti dayag ken pannakabalin!
2 Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake; mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake.
Itedyo kenni Yahweh ti dayaw a maikari iti naganna; idaydayawyo ni Yahweh iti kawes a mayannatup iti kinasantona.
3 Sauti ya Bwana iko juu ya maji; Mungu wa utukufu hupiga radi, Bwana hupiga radi juu ya maji makuu.
Mangngeg ti timek ni Yahweh iti rabaw dagiti dandanum; aggurruod ti dayag ti Dios, aggurruod ni Yahweh iti rabaw dagiti adu a danum.
4 Sauti ya Bwana ina nguvu; sauti ya Bwana ni tukufu.
Mannakabalin ti timek ni Yahweh; naindaklan ti timek ni Yahweh.
5 Sauti ya Bwana huvunja mierezi; Bwana huvunja vipande vipande mierezi ya Lebanoni.
Tukkolen ti timek ni Yahweh dagiti sedro; Tukku-tukkolen ni Yahweh dagiti sedro ti Libano.
6 Hufanya Lebanoni irukaruke kama ndama, Sirioni urukaruke kama mwana nyati.
Paglagtoenna ti Libano a kasla urbon a baka ken ti Hermon a kasla urbon a toro.
7 Sauti ya Bwana hupiga kwa miali ya umeme wa radi.
Dumarup ti timek ni Yahweh a mapakuyogan iti gumilgil-ayab nga apuy.
8 Sauti ya Bwana hutikisa jangwa; Bwana hutikisa Jangwa la Kadeshi.
Gun-gunen ti timek ni Yahweh ti let-ang; gun-gunen ni Yahweh ti let-ang ti Kades.
9 Sauti ya Bwana huzalisha ayala, na huuacha msitu wazi. Hekaluni mwake wote wasema, “Utukufu!”
Pagsikalen ti timek ni Yahweh ti kabaian nga ugsa; labusanna dagiti kakaykaywan; ngem iti templona kuna ti tunggal maysa, “Nadayag ti Dios!”
10 Bwana huketi akiwa ametawazwa juu ya gharika; Bwana ametawazwa kuwa Mfalme milele.
Agturay ni Yahweh a kas ari iti layus; agturay ni Yahweh a kas ari iti agnanayon.
11 Bwana huwapa watu wake nguvu; Bwana huwabariki watu wake kwa kuwapa amani.
Mangmangted ni Yahweh iti pigsa kadagiti tattaona; benbendisionan ni Yahweh dagiti tattaona iti kapia.

< Zaburi 29 >