< Zaburi 29 >
1 Zaburi ya Daudi. Mpeni Bwana, enyi mashujaa, mpeni Bwana utukufu na nguvu.
melody to/for David to give to/for LORD son: type of god to give to/for LORD glory and strength
2 Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake; mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake.
to give to/for LORD glory name his to bow to/for LORD in/on/with adornment holiness
3 Sauti ya Bwana iko juu ya maji; Mungu wa utukufu hupiga radi, Bwana hupiga radi juu ya maji makuu.
voice LORD upon [the] water God [the] glory to thunder LORD upon water many
4 Sauti ya Bwana ina nguvu; sauti ya Bwana ni tukufu.
voice LORD in/on/with strength voice LORD in/on/with glory
5 Sauti ya Bwana huvunja mierezi; Bwana huvunja vipande vipande mierezi ya Lebanoni.
voice LORD to break cedar and to break LORD [obj] cedar [the] Lebanon
6 Hufanya Lebanoni irukaruke kama ndama, Sirioni urukaruke kama mwana nyati.
and to skip about them like calf Lebanon and Sirion like son: young animal wild ox
7 Sauti ya Bwana hupiga kwa miali ya umeme wa radi.
voice LORD to hew flame fire
8 Sauti ya Bwana hutikisa jangwa; Bwana hutikisa Jangwa la Kadeshi.
voice LORD to twist: tremble wilderness to twist: tremble LORD wilderness Kadesh
9 Sauti ya Bwana huzalisha ayala, na huuacha msitu wazi. Hekaluni mwake wote wasema, “Utukufu!”
voice LORD to twist: dance doe and to strip wood and in/on/with temple his all his to say glory
10 Bwana huketi akiwa ametawazwa juu ya gharika; Bwana ametawazwa kuwa Mfalme milele.
LORD to/for flood to dwell and to dwell LORD king to/for forever: enduring
11 Bwana huwapa watu wake nguvu; Bwana huwabariki watu wake kwa kuwapa amani.
LORD strength to/for people his to give: give LORD to bless [obj] people his in/on/with peace