< Zaburi 29 >
1 Zaburi ya Daudi. Mpeni Bwana, enyi mashujaa, mpeni Bwana utukufu na nguvu.
Een psalm van David. Brengt Jahweh, zonen Gods, Brengt Jahweh glorie en lof.
2 Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake; mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake.
Brengt Jahweh de eer van zijn Naam; Huldigt Jahweh in heilige feestdos!
3 Sauti ya Bwana iko juu ya maji; Mungu wa utukufu hupiga radi, Bwana hupiga radi juu ya maji makuu.
De stem van Jahweh over de wateren! De God van majesteit, Jahweh, dondert over de onmetelijke plassen!
4 Sauti ya Bwana ina nguvu; sauti ya Bwana ni tukufu.
De stem van Jahweh vol kracht, De stem van Jahweh vol glorie!
5 Sauti ya Bwana huvunja mierezi; Bwana huvunja vipande vipande mierezi ya Lebanoni.
De stem van Jahweh verbrijzelt de ceders, Jahweh slaat de ceders van de Libanon te pletter.
6 Hufanya Lebanoni irukaruke kama ndama, Sirioni urukaruke kama mwana nyati.
Als een kalf laat Hij de Libanon huppelen, De Sjirjon als het jong van een buffel.
7 Sauti ya Bwana hupiga kwa miali ya umeme wa radi.
De stem van Jahweh braakt vurige flitsen; En in zijn paleis roept iedereen: Glorie!
8 Sauti ya Bwana hutikisa jangwa; Bwana hutikisa Jangwa la Kadeshi.
De stem van Jahweh laat de wildernis beven, Jahweh schokt de steppe van Kadesj;
9 Sauti ya Bwana huzalisha ayala, na huuacha msitu wazi. Hekaluni mwake wote wasema, “Utukufu!”
De stem van Jahweh wringt eiken krom, En ontbladert de wouden.
10 Bwana huketi akiwa ametawazwa juu ya gharika; Bwana ametawazwa kuwa Mfalme milele.
Jahweh zetelt op de orkaan, Jahweh troont er als Koning voor eeuwig!
11 Bwana huwapa watu wake nguvu; Bwana huwabariki watu wake kwa kuwapa amani.
Jahweh geeft kracht aan zijn volk; Jahweh zegent zijn volk met de vrede!