< Zaburi 29 >

1 Zaburi ya Daudi. Mpeni Bwana, enyi mashujaa, mpeni Bwana utukufu na nguvu.
天主的眾子,請讚美上主,請將讚美光榮,歸於上主。
2 Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake; mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake.
請將主的榮耀,歸於上主,穿上聖潔華服,朝拜上主。
3 Sauti ya Bwana iko juu ya maji; Mungu wa utukufu hupiga radi, Bwana hupiga radi juu ya maji makuu.
上主的聲音響徹水面,天主雷鳴在顯示莊嚴,上主臨到澎湃的水面。
4 Sauti ya Bwana ina nguvu; sauti ya Bwana ni tukufu.
上主的聲音具有威權,上主的聲音具有莊嚴。
5 Sauti ya Bwana huvunja mierezi; Bwana huvunja vipande vipande mierezi ya Lebanoni.
上主的聲音劈斷香柏,上主折斷黎巴嫩香柏;
6 Hufanya Lebanoni irukaruke kama ndama, Sirioni urukaruke kama mwana nyati.
使黎巴嫩像牛犢一樣舞蹈,使息爾翁像小牛一樣跳躍。
7 Sauti ya Bwana hupiga kwa miali ya umeme wa radi.
上主的聲音放射出火舌。
8 Sauti ya Bwana hutikisa jangwa; Bwana hutikisa Jangwa la Kadeshi.
上主的聲音震動了曠野,上主震動了卡士德曠野。
9 Sauti ya Bwana huzalisha ayala, na huuacha msitu wazi. Hekaluni mwake wote wasema, “Utukufu!”
上主的聲音搖撼橡樹,剝光森林;凡在祂殿中的都齊聲高呼:光榮。
10 Bwana huketi akiwa ametawazwa juu ya gharika; Bwana ametawazwa kuwa Mfalme milele.
上主坐在洪水之上,上主永遠高坐為王。
11 Bwana huwapa watu wake nguvu; Bwana huwabariki watu wake kwa kuwapa amani.
上主必將勇力賜給祂的百姓,上主必以平安祝福祂的人民。

< Zaburi 29 >