< Zaburi 29 >

1 Zaburi ya Daudi. Mpeni Bwana, enyi mashujaa, mpeni Bwana utukufu na nguvu.
NAE si Jeova, O famaguon manmetgot, nae si Jeova ni inenra yan y minetgot.
2 Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake; mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake.
Nae si Jeova y inenra ni mauleg para y naanña: adora si Jeova ni guinatbon y sinantosña.
3 Sauti ya Bwana iko juu ya maji; Mungu wa utukufu hupiga radi, Bwana hupiga radi juu ya maji makuu.
Y inagang Jeova gaegue gui jilo y janomsija: ya y Yuus langet janajujulo: junggan, si Jeova, gui jilo y megae na janom.
4 Sauti ya Bwana ina nguvu; sauti ya Bwana ni tukufu.
Y inagang Jeova y ninasiña: y inagang Jeova bula y minagas.
5 Sauti ya Bwana huvunja mierezi; Bwana huvunja vipande vipande mierezi ya Lebanoni.
Y inagang Jeova yumuyulang y trongcon y sedrosija: magajet na jayulang si Jeova y trongcon sedrosija y Líbano.
6 Hufanya Lebanoni irukaruke kama ndama, Sirioni urukaruke kama mwana nyati.
Ya janafanayog sija locue taegüije y tatnero: y Líbano yan y Sirion taegüije y patgon y dadao na nubiyo.
7 Sauti ya Bwana hupiga kwa miali ya umeme wa radi.
Y inagang Jeova umuutut y mañila y guafe.
8 Sauti ya Bwana hutikisa jangwa; Bwana hutikisa Jangwa la Kadeshi.
Y inagang Jeova munamayengyong y jalomtano: janameyeyengyong si Jeova y jalomtano guiya Cades.
9 Sauti ya Bwana huzalisha ayala, na huuacha msitu wazi. Hekaluni mwake wote wasema, “Utukufu!”
Y inagang Jeova munafanmañañago y binado sija ya janafanquesnuda y jalomtano: ya y temploña nae todo y güinaja ilegña: Minalag.
10 Bwana huketi akiwa ametawazwa juu ya gharika; Bwana ametawazwa kuwa Mfalme milele.
Si Jeova anae guaja delubio matachong calang un ray; magajet na matatachong si Jeova calang ray na taejinecog.
11 Bwana huwapa watu wake nguvu; Bwana huwabariki watu wake kwa kuwapa amani.
Si Jeova unae minetgot y taotaoña: si Jeova jabendise y taotaoña ni y pas.

< Zaburi 29 >