< Zaburi 27 >

1 Zaburi ya Daudi. Bwana ni nuru yangu na wokovu wangu, nimwogope nani? Bwana ni ngome ya uzima wangu, nimhofu nani?
SI Jeova y candetto yan y satbasionjo? ya jaye jumaañagüeyo? si Jeova y minetgot y linâlâjo, ya jaye yo nae jumaañao?
2 Waovu watakaposogea dhidi yangu ili wanile nyama yangu, adui zangu na watesi wangu watakaponishambulia, watajikwaa na kuanguka.
Anae manmato guiya guajo y chumogüe taelaye para u jacano y catneco, y contrariojo yan y enimigujo, sija manmatompo ya manmatomba.
3 Hata jeshi linizunguke pande zote, moyo wangu hautaogopa; hata vita vitokee dhidi yangu, hata hapo nitakuwa na ujasiri.
Achogja ujapolo un inetnon sendalo contra guajo ti maañao y corasonjo: achogja ucajulo y guera contra guajo, este nae juangocoyo.
4 Jambo moja ninamwomba Bwana, hili ndilo ninalolitafuta: niweze kukaa nyumbani mwa Bwana siku zote za maisha yangu, niutazame uzuri wa Bwana na kumtafuta hekaluni mwake.
Unoja na güinaja jugagao gui as Jeova, este jualiligao; na jugaegue gui guima Jeova todo y jaanen linâlâjo, para julie y guinatbon Jeova ya para jualigao gui temploña.
5 Kwa kuwa siku ya shida, atanihifadhi salama katika maskani yake, atanificha uvulini mwa hema yake na kuniweka juu kwenye mwamba.
Sa güiya munaatogyo gui tabernacoluña gui jaanen pinite: ya janaatogyo gui fanatog y tabernacoluña: ya japoloyo julo gui jilo y acho.
6 Kisha kichwa changu kitainuliwa juu ya adui zangu wanaonizunguka. Katika maskani yake nitatoa dhabihu kwa kelele za shangwe; nitamwimbia Bwana na kumsifu.
Ya pago janataquiloyo y ilujo gui jilo y enimigujo gui oriyajo: ya junae gui tabernacoluña inefresen minagof; bae jucantae, magajet, jucantaye alabansa sija si Jeova.
7 Isikie sauti yangu nikuitapo, Ee Bwana, unihurumie na unijibu.
Jungog, O Jeova, anae juagang ni inagangjo, gaease locue ni guajo ya unopeyo.
8 Moyo wangu unasema kuhusu wewe, “Utafute uso wake!” Uso wako, Bwana “Nitautafuta.”
Anae ilegmo: Aligao jamyo y matajo; y corasonjo ilegña nu jago: O Jeova, y matamo jualiligao.
9 Usinifiche uso wako, usimkatae mtumishi wako kwa hasira; wewe umekuwa msaada wangu. Usinikatae wala usiniache, Ee Mungu Mwokozi wangu.
Chamo munaaatog y matamo guiya guajo; chamo munasusuja yan y binibumo y tentagomo: jago guinin ayudajo; chamoyo yumuyute ya chamoyo dumidingo, O Yuus gui satbasionjo.
10 Hata kama baba yangu na mama wakiniacha, Bwana atanipokea.
Anae si tatajo yan nanajo yumuteyo: si Jeova jumocayo.
11 Nifundishe njia yako, Ee Bwana, niongoze katika njia iliyonyooka kwa sababu ya watesi wangu.
Fanagüeyo, O Jeova, ni y chalanmo: ya osgaejonyo, gui chalan yano, pot rason y enimigujo.
12 Usiniachilie kwa nia za adui zangu, kwa maana mashahidi wa uongo wameinuka dhidi yangu, wakipumua ujeuri.
Chamoyo pumopolo gui minalago y contrariojo: sa mangajujulo contra guajo mandacon na testigo, ya jaye usinangang y taease.
13 Nami bado nina tumaini hili: nitauona wema wa Bwana katika nchi ya walio hai.
Guinin lalangoyo yaguin ti jujonggue na guaja nae julie y minauleg Jeova gui tano ni y manlâlâlâ.
14 Mngojee Bwana, uwe hodari na mwenye moyo mkuu, nawe, umngojee Bwana.
Nangga si Jeova: nametgotjao ya polo ya unamatatnga y corasonmo: magajet, na nangga jao si Jeova.

< Zaburi 27 >