< Zaburi 26 >

1 Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, nithibitishe katika haki, maana nimeishi maisha yasiyo na lawama; nimemtumainia Bwana bila kusitasita.
Von David. Schaffe mir Recht, Jahwe, denn in meiner Unschuld habe ich gewandelt und auf Jahwe habe ich vertraut, ohne zu wanken.
2 Ee Bwana, unijaribu, unipime, uuchunguze moyo wangu na mawazo yangu;
Prüfe mich, Jahwe, und versuche mich; durchläutere meine Nieren und mein Herz!
3 kwa maana upendo wako uko mbele yangu daima, nami natembea siku zote katika kweli yako.
Denn deine Gnade ist vor meinen Augen, und in deiner Wahrheit habe ich gewandelt.
4 Siketi pamoja na watu wadanganyifu, wala siandamani na wanafiki,
Ich saß nicht bei falschen Männern und ging nicht ein zu Versteckten.
5 ninachukia kusanyiko la watenda mabaya na ninakataa kuketi pamoja na waovu.
Ich hasse die Versammlung der Bösewichter und bei den Gottlosen sitze ich nicht.
6 Ninanawa mikono yangu kwa kuwa sina hatia, naikaribia madhabahu yako, Ee Bwana,
Ich wasche in Unschuld meine Hände, und so laß mich schreiten um deinen Altar, Jahwe,
7 nikitangaza sifa yako kwa sauti kubwa, huku nikisimulia matendo yako ya ajabu.
daß ich lauten Dank vernehmen lasse und alle deine Wunder erzähle.
8 Ee Bwana, naipenda nyumba yako mahali unakoishi, mahali ambapo utukufu wako hukaa.
Jahwe, ich habe lieb die Stätte deines Hauses und den Ort, wo deine Herrlichkeit wohnt.
9 Usiiondoe nafsi yangu pamoja na watenda dhambi, wala uhai wangu pamoja na wamwagao damu,
Raffe meine Seele nicht mit Sündern dahin und mit Blutmenschen mein Leben,
10 ambao mikononi mwao kuna mipango miovu, ambao mikono yao ya kuume imejaa rushwa.
an deren Händen Schandthat klebt, und deren Rechte voll ist von Bestechung.
11 Bali mimi ninaishi maisha yasiyo na lawama; nikomboe na unihurumie.
Ich aber will in meiner Unschuld wandeln; erlöse mich und sei mir gnädig!
12 Miguu yangu imesimama katika uwanja tambarare; katika kusanyiko kuu nitamsifu Bwana.
Mein Fuß steht auf ebenem Weg. Ich will Jahwe preisen in den Versammlungen!

< Zaburi 26 >