< Zaburi 25 >

1 Zaburi ya Daudi. Kwako wewe, Ee Bwana, nainua nafsi yangu,
Hina Gode! Na da Dima fawane sia: ne gadosa!
2 ni wewe ninayekutumainia, Ee Mungu wangu. Usiniache niaibike, wala usiache adui zangu wakanishinda.
Na Gode! Na da Dima fawane dafawaneyale dawa: sa. Hasalasu houba: le, na gogosiasa: besa: le, Dia na gaga: ma. Nama ha lai dunu da nama hidale habosesesa: besa: le, fidima.
3 Kamwe hakuna hata mmoja anayekutegemea atakayeaibishwa, bali wataaibishwa wafanyao hila bila sababu.
Nowa da Dima dafawaneyale dawa: sa, ilima ha lai dunu da ilima hame hasalasimu. Be nowa da Dima lelesea, da ilia ha lai amoga hasali dagoi ba: mu.
4 Nionyeshe njia zako, Ee Bwana, nifundishe mapito yako,
Hina Gode! Dia hou huluane nama olelema! Na da amo dawa: digima: ne, nama olelema!
5 niongoze katika kweli yako na kunifundisha, kwa maana wewe ni Mungu Mwokozi wangu, nalo tumaini langu liko kwako wakati wote.
Na da Dia dafawanedafa hou defele esaloma: ne, Dia nama olelema. Bai Di da na Gode amo da na gaga: lala. Na da Dima eso huluane dafawaneyale dawa: lala.
6 Kumbuka, Ee Bwana, rehema zako kuu na upendo, kwa maana zimekuwepo tangu zamani.
Hina Gode Di bu dawa: ma! Di da musaganini wali, asigi amola olofosu hou olelelalusu.
7 Usizikumbuke dhambi za ujana wangu wala njia zangu za uasi, sawasawa na upendo wako unikumbuke, kwa maana wewe ni mwema, Ee Bwana.
Na ayeligia wadela: i hou amola giadofasu hou huluane Dia gogolema: ne olofoma. Hina Gode, Dia mae fisili asigidafa hou, amoga nama bu dawa: ma!
8 Bwana ni mwema na mwenye adili, kwa hiyo huwafundisha wenye dhambi njia zake.
Hina Gode da wadela: i hamosu dunu ilia logo moloi amoga ahoasu hamoma: ne agoane olelesa. Bai Hina Gode da moloidafa amola noga: idafa.
9 Huwaongoza wanyenyekevu katika haki, naye huwafundisha njia yake.
E da asaboi amola hi hou fonoboi dunu amo, hou moloi amoga oule ahoa, amola Ea hanai hamoma: ne olelesa.
10 Njia zote za Bwana ni za upendo na uaminifu kwa wale wanaoshika shuhuda za agano lake.
E da Ea gousa: su noga: le ouligisu dunu, amola Ea hamoma: ne sia: i noga: le nabasu dunu, amo E da asigiwane amola mae fisiliwane ili oule ahoa.
11 Ee Bwana, kwa ajili ya jina lako, unisamehe uovu wangu, ijapokuwa ni mwingi.
Na wadela: i hou da bagohame gala. Be Hina Gode! Dia ilegele sia: i defele, na wadela: i hou gogolema: ne olofoma!
12 Ni nani basi, mtu yule anayemcha Bwana? Atamfundisha katika njia atakayoichagua kwa ajili yake.
Dunu amo da Hina Gode Ea sia: didili hamosea da, Ema Ea logodafa amoga masa: ne, dawa: lamu.
13 Mtu huyo atafanikiwa maishani mwake, nao wazao wake watairithi nchi.
Ilia da eso huluane bagade gaguiwane ba: mu. Amola ilia mano da Isala: ili soge gagulaligimu.
14 Siri ya Bwana iko kwa wale wamchao, yeye huwajulisha agano lake.
Hina Gode da Hi sia: nabasu dunu ilima sama hamosa. Amola E da ilima Ea Gousa: su bu ilegesa.
15 Macho yangu humwelekea Bwana daima, kwa kuwa yeye peke yake ndiye ataitoa miguu yangu kutoka mtego.
Na da eso huluane Hina Gode da na fidimu, amo dafawaneyale dawa: be. Amola na se mae nabima: ne, E da eso huluane na gaga: lala.
16 Nigeukie na unihurumie, kwa maana mimi ni mpweke na mwenye kuteseka.
Hina Gode! Nama ba: le guda: le, nama asigima! Bai na da fofagi amola gasa hamedei.
17 Shida za moyo wangu zimeongezeka, niokoe katika dhiki yangu.
Na da: i dioi huluane lalegama! amola na da bidi hamosu mae ba: ma: ne, na gaga: ma!
18 Uangalie mateso na shida zangu na uniondolee dhambi zangu zote.
Na da: i dioi amola se nabasu, Dia ba: ma! amola na wadela: i hou huluane gogolema: ne olofoma!
19 Tazama adui zangu walivyo wengi, pia uone jinsi wanavyonichukia vikali!
Nama ha lai dunu bagohame amo Dia ba: ma! Ilia nama higasu hou, Dia ba: ma!
20 Uyalinde maisha yangu na uniokoe, usiniache niaibike, kwa maana nimekukimbilia wewe.
Ilia da Na hasalasa: besa: le, Dia na gaga: ma! Na da Dia na gaga: ma: ne, Dima mana!
21 Uadilifu na uaminifu vinilinde, kwa sababu tumaini langu ni kwako.
Na noga: i hou amola moloi hou da na gaga: mu da defea. Bai na da Di dafawaneyale dawa: beba: le.
22 Ee Mungu, wakomboe Israeli, katika shida zao zote!
Gode! Dia dunu fi Isala: ili, ilia bidi hamosu bagade galebeba: le, ili gaga: ma.

< Zaburi 25 >