< Zaburi 23 >

1 Zaburi ya Daudi. Bwana ndiye mchungaji wangu, sitapungukiwa na kitu.
El Señor es mi Pastor; Nada me faltará.
2 Hunilaza katika malisho ya majani mabichi, kando ya maji matulivu huniongoza,
Él me hace un lugar de descanso en los campos verdes: él es mi guía junto a las aguas tranquilas.
3 hunihuisha nafsi yangu. Huniongoza katika njia za haki kwa ajili ya jina lake.
Él me da nuevas fuerzas: él es mi guía en los caminos de la justicia haciendo honor de su nombre.
4 Hata kama nikipita katikati ya bonde la uvuli wa mauti, sitaogopa mabaya, kwa maana wewe upo pamoja nami; fimbo yako na mkongojo wako vyanifariji.
Sí, aunque atraviese el valle de la sombra de muerte. no temeré el mal; porque tú estás conmigo, tu vara y tu cayado me infundirán confianza.
5 Waandaa meza mbele yangu machoni pa adui zangu. Umenipaka mafuta kichwani pangu, kikombe changu kinafurika.
Tu preparas un banquete para mí frente a mis enemigos: unges con aceite mi cabeza; mi taza se está desbordando.
6 Hakika wema na upendo vitanifuata siku zote za maisha yangu, nami nitakaa nyumbani mwa Bwana milele.
Verdaderamente, la bendición y la misericordia estarán conmigo todos los días de mi vida; y moraré en la casa del Señor todos mis días.

< Zaburi 23 >