< Zaburi 23 >

1 Zaburi ya Daudi. Bwana ndiye mchungaji wangu, sitapungukiwa na kitu.
[Psalm lal David] LEUM GOD El mwet shepherd luk; Wanginna ma nga ac kena kac.
2 Hunilaza katika malisho ya majani mabichi, kando ya maji matulivu huniongoza,
El oru nga in ona in ima folfol insroa; El kolyula nu sisken kof mihs.
3 hunihuisha nafsi yangu. Huniongoza katika njia za haki kwa ajili ya jina lake.
El akkeyala ngunik. El kolyu inkanek suwoswos ke Inel.
4 Hata kama nikipita katikati ya bonde la uvuli wa mauti, sitaogopa mabaya, kwa maana wewe upo pamoja nami; fimbo yako na mkongojo wako vyanifariji.
Nga finne fufahsryesr infahlfal lun ngunin misa Nga ac fah tia sangeng ke kutena ma koluk; Tuh kom wiyu. Sak lom ac sikal lom akwoyeyu.
5 Waandaa meza mbele yangu machoni pa adui zangu. Umenipaka mafuta kichwani pangu, kikombe changu kinafurika.
Kom akoo sie tepu nu sik Ye mutun mwet lokoalok luk. Kom mosrwela sifuk ke oil; Cup luk kahkla.
6 Hakika wema na upendo vitanifuata siku zote za maisha yangu, nami nitakaa nyumbani mwa Bwana milele.
Pwaye wo ac lungkulang fah wiyu in len nukewa in moul luk; Ac nga ac fah muta in lohm sin LEUM GOD ma pahtpat.

< Zaburi 23 >