< Zaburi 22 >
1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa utenzi wa “Kulungu wa Alfajiri.” Zaburi ya Daudi. Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha? Kwa nini uko mbali hivyo kuniokoa? Mbali hivyo na maneno ya kuugua kwangu?
Para o Músico Chefe; definido para “A Corça da Manhã”. Um salmo de David. Meu Deus, meu Deus, por que você me abandonou? Por que você está tão longe de me ajudar, e das palavras do meu gemido?
2 Ee Mungu wangu, ninalia mchana, lakini hunijibu, hata usiku, sinyamazi.
Meu Deus, eu choro durante o dia, mas você não responde; na estação noturna, e não estou em silêncio.
3 Hata hivyo umesimikwa katika kiti cha enzi kama Uliye Mtakatifu; wewe ni sifa ya Israeli.
Mas você é santo, vocês que habitam os louvores de Israel.
4 Kwako wewe baba zetu waliweka tumaini lao, walikutumaini nawe ukawaokoa.
Nossos pais confiaram em você. Eles confiaram, e você os entregou.
5 Walikulilia wewe na ukawaokoa, walikutegemea wewe nao hawakuaibika.
They chorou a você, e foram entregues. Eles confiaram em você, e não ficaram desapontados.
6 Mimi ni mnyoo wala si mwanadamu, wanaume wamenibeza, na watu wamenidharau.
Mas eu sou uma minhoca, e nenhum homem; uma censura aos homens, e desprezada pelo povo.
7 Wote wanionao hunidhihaki, hunivurumishia matusi, wakitikisa vichwa vyao:
Todos aqueles que me vêem zombar de mim. Eles me insultam com seus lábios. Eles abanam a cabeça, dizendo,
8 Husema, “Anamtegemea Bwana, basi Bwana na amwokoe. Amkomboe basi, kwa maana anapendezwa naye.”
“Ele confia em Yahweh. Deixe-o entregá-lo. Deixe-o resgatá-lo, pois ele se deleita com ele”.
9 Hata hivyo ulinitoa tumboni, ukanifanya nikutegemee, hata nilipokuwa ninanyonya matiti ya mama yangu.
Mas você me trouxe para fora do útero. Você me fez confiar enquanto estava nos peitos de minha mãe.
10 Nimekabidhiwa kwako tangu kuzaliwa, toka tumboni mwa mama yangu umekuwa Mungu wangu.
Eu fui jogado em cima de você desde o ventre de minha mãe. Você é meu Deus desde que minha mãe me aborreceu.
11 Usiwe mbali nami, kwa maana shida iko karibu na hakuna wa kunisaidia.
Don não estar longe de mim, pois os problemas estão próximos. Pois não há ninguém para ajudar.
12 Mafahali wengi wamenizunguka, mafahali wa Bashani wenye nguvu wamenizingira.
Many os touros me cercaram. Touros fortes de Bashan me cercaram.
13 Simba wangurumao wanaorarua mawindo yao hupanua vinywa vyao dhidi yangu.
They abrir bem sua boca contra mim, leões que rasgam presas e rugem.
14 Nimemiminwa kama maji, mifupa yangu yote imetoka katika viungo vyake. Moyo wangu umegeuka kuwa nta, umeyeyuka ndani yangu.
Sou derramado como água. Todos os meus ossos estão fora da articulação. Meu coração é como a cera. Está derretido dentro de mim.
15 Nguvu zangu zimekauka kama kigae, ulimi wangu umegandamana na kaakaa la kinywa changu, kwa sababu umenilaza katika mavumbi ya kifo.
Minha força está seca como um caco. Minha língua gruda no céu da minha boca. Vocês me trouxeram ao pó da morte.
16 Mbwa wamenizunguka, kundi la watu waovu limenizingira, wametoboa mikono yangu na miguu yangu.
Pois os cães me cercaram. Uma empresa de malfeitores me cercou. Eles perfuraram minhas mãos e meus pés.
17 Naweza kuhesabu mifupa yangu yote, watu wananikodolea macho na kunisimanga.
Eu posso contar todos os meus ossos. Eles olham e me olham fixamente.
18 Wanagawana nguo zangu wao kwa wao, na vazi langu wanalipigia kura.
Eles dividem minhas peças de vestuário entre eles. Eles jogam à sorte pela minha roupa.
19 Lakini wewe, Ee Bwana, usiwe mbali. Ee Nguvu yangu, uje haraka unisaidie.
Mas não esteja muito longe, Yahweh. Você é minha ajuda. Apresse-se para me ajudar!
20 Okoa maisha yangu na upanga, uhai wangu wa thamani kutoka nguvu za mbwa.
Deliver minha alma a partir da espada, minha preciosa vida a partir do poder do cão.
21 Niokoe kutoka kinywani mwa simba, niokoe kutoka pembe za mafahali mwitu.
Salve-me da boca do leão! Sim, você me resgatou dos chifres dos bois selvagens.
22 Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu, katika kusanyiko nitakusifu wewe.
I declarará seu nome a meus irmãos. Entre a assembléia, eu os elogiarei.
23 Ninyi ambao mnamcha Bwana, msifuni! Ninyi nyote wazao wote wa Yakobo, mheshimuni yeye! Mcheni yeye, ninyi wazao wote wa Israeli!
Vós que temeis Yahweh, louvai-o! Todos vocês, descendentes de Jacob, glorifiquem-no! Fiquem admirados com ele, todos vocês descendentes de Israel!
24 Kwa maana hakupuuza wala kudharau mateso ya aliyeonewa; hakumficha uso wake bali alisikiliza kilio chake ili amsaidie.
Pois ele não desprezou nem abominou a aflição dos aflitos, nem escondeu seu rosto dele; mas quando chorou para ele, ele ouviu.
25 Kwako wewe hutoka kiini cha sifa zangu katika kusanyiko kubwa, nitatimiza nadhiri zangu mbele ya wale wakuchao wewe.
Meus elogios a vocês vêm na grande assembléia. Pagarei meus votos diante daqueles que o temem.
26 Maskini watakula na kushiba, wale wamtafutao Bwana watamsifu: mioyo yenu na iishi milele!
Os humildes devem comer e ficar satisfeitos. Eles elogiarão Iavé que o procura. Deixem seus corações viver para sempre.
27 Miisho yote ya dunia itakumbuka na kumgeukia Bwana, nazo jamaa zote za mataifa watasujudu mbele zake,
Todos os confins da terra devem se lembrar e se voltar para Yahweh. Todos os parentes das nações devem adorar diante de vocês.
28 kwa maana ufalme ni wa Bwana naye hutawala juu ya mataifa.
Pois o reino é de Yahweh. Ele é o governante sobre as nações.
29 Matajiri wote wa dunia watasherehekea na kuabudu. Wote waendao mavumbini watapiga magoti mbele yake, wote ambao hawawezi kudumisha uhai wao.
All os ricos da terra devem comer e adorar. Todos aqueles que descem ao pó devem se curvar diante dele, mesmo aquele que não consegue manter sua alma viva.
30 Wazao wa baadaye watamtumikia yeye; vizazi vijavyo vitajulishwa habari za Bwana.
Posterity deve servi-lo. As gerações futuras serão informadas sobre o Senhor.
31 Watatangaza haki yake kwa watu ambao hawajazaliwa bado, kwa maana yeye ametenda hili.
Eles virão e declararão sua retidão a um povo que nascerá, pois ele o fez.