< Zaburi 22 >
1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa utenzi wa “Kulungu wa Alfajiri.” Zaburi ya Daudi. Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha? Kwa nini uko mbali hivyo kuniokoa? Mbali hivyo na maneno ya kuugua kwangu?
Til Sangmesteren; til „Morgenrødens Hind‟; en Psalme af David.
2 Ee Mungu wangu, ninalia mchana, lakini hunijibu, hata usiku, sinyamazi.
Min Gud, min Gud! hvorfor har du forladt mig, du er fjern fra min Frelse, fra mit Klageskrig.
3 Hata hivyo umesimikwa katika kiti cha enzi kama Uliye Mtakatifu; wewe ni sifa ya Israeli.
Min Gud! jeg raaber om Dagen, og du svarer ikke; og om Natten, og jeg kan ikke være stille.
4 Kwako wewe baba zetu waliweka tumaini lao, walikutumaini nawe ukawaokoa.
Men du er hellig, du, som bor iblandt Israels Lovsange!
5 Walikulilia wewe na ukawaokoa, walikutegemea wewe nao hawakuaibika.
Vore Fædre forlode sig paa dig; de forlode sig paa dig, og du friede dem.
6 Mimi ni mnyoo wala si mwanadamu, wanaume wamenibeza, na watu wamenidharau.
Til dig raabte de og frelstes; de forlode sig paa dig, og bleve ikke beskæmmede.
7 Wote wanionao hunidhihaki, hunivurumishia matusi, wakitikisa vichwa vyao:
Men jeg er en Orm og ikke en Mand, Menneskens Spot og Folks Foragt.
8 Husema, “Anamtegemea Bwana, basi Bwana na amwokoe. Amkomboe basi, kwa maana anapendezwa naye.”
Alle de, som se mig, spotte mig; de vrænge Mund, de ryste med Hovedet:
9 Hata hivyo ulinitoa tumboni, ukanifanya nikutegemee, hata nilipokuwa ninanyonya matiti ya mama yangu.
„Vælt det paa Herren, han befri ham; han redde ham, efterdi han har Lyst til ham‟!
10 Nimekabidhiwa kwako tangu kuzaliwa, toka tumboni mwa mama yangu umekuwa Mungu wangu.
Du er dog den, som drog mig af Moders Liv, du lod mig hvile trygt ved min Moders Bryster.
11 Usiwe mbali nami, kwa maana shida iko karibu na hakuna wa kunisaidia.
Paa dig er jeg kastet fra Moders Liv af; du er min Gud fra min Moders Skød.
12 Mafahali wengi wamenizunguka, mafahali wa Bashani wenye nguvu wamenizingira.
Vær ikke langt fra mig, thi Angest er nær; thi der er ingen Hjælper.
13 Simba wangurumao wanaorarua mawindo yao hupanua vinywa vyao dhidi yangu.
Mange Øksne have omgivet mig; Basans Tyre have omringet mig.
14 Nimemiminwa kama maji, mifupa yangu yote imetoka katika viungo vyake. Moyo wangu umegeuka kuwa nta, umeyeyuka ndani yangu.
De oplode deres Gab imod mig som en Løve, der river og brøler.
15 Nguvu zangu zimekauka kama kigae, ulimi wangu umegandamana na kaakaa la kinywa changu, kwa sababu umenilaza katika mavumbi ya kifo.
Jeg er udøst som Vand, og alle mine Ben adskille sig; mit Hjerte er som Voks, det smelter midt i mit Liv.
16 Mbwa wamenizunguka, kundi la watu waovu limenizingira, wametoboa mikono yangu na miguu yangu.
Min Kraft er tørret som et Potteskaar, min Tunge hænger ved mine Gummer, og du lægger mig ned i Dødens Støv.
17 Naweza kuhesabu mifupa yangu yote, watu wananikodolea macho na kunisimanga.
Thi Hunde have omgivet mig; de ondes Hob har omringet mig; de have gennemboret mine Hænder og mine Fødder.
18 Wanagawana nguo zangu wao kwa wao, na vazi langu wanalipigia kura.
Jeg kan tælle alle mine Ben; de se til, de se paa mig.
19 Lakini wewe, Ee Bwana, usiwe mbali. Ee Nguvu yangu, uje haraka unisaidie.
De dele mine Klæder imellem sig og kaste Lod om mit Klædebon.
20 Okoa maisha yangu na upanga, uhai wangu wa thamani kutoka nguvu za mbwa.
Men du, Herre, vær ikke langt borte! min Styrke, skynd dig at hjælpe mig!
21 Niokoe kutoka kinywani mwa simba, niokoe kutoka pembe za mafahali mwitu.
Red min Sjæl fra Sværdet, min eneste fra Hundes Vold!
22 Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu, katika kusanyiko nitakusifu wewe.
Frels mig fra Løvens Gab og fra Enhjørningens Horn! Du har bønhørt mig.
23 Ninyi ambao mnamcha Bwana, msifuni! Ninyi nyote wazao wote wa Yakobo, mheshimuni yeye! Mcheni yeye, ninyi wazao wote wa Israeli!
Jeg vil forkynde dit Navn for mine Brødre, midt i Forsamlingen vil jeg love dig.
24 Kwa maana hakupuuza wala kudharau mateso ya aliyeonewa; hakumficha uso wake bali alisikiliza kilio chake ili amsaidie.
I, som frygte Herren, lover ham! al Jakobs Sæd, ærer ham! og bæver for ham, al Israels Sæd!
25 Kwako wewe hutoka kiini cha sifa zangu katika kusanyiko kubwa, nitatimiza nadhiri zangu mbele ya wale wakuchao wewe.
Thi han har ikke foragtet og ej havt Vederstyggelighed for den elendiges Elendighed og ikke skjult sit Ansigt for ham; men der han raabte til ham, hørte han det.
26 Maskini watakula na kushiba, wale wamtafutao Bwana watamsifu: mioyo yenu na iishi milele!
Fra dig begynder min Lovsang i en stor Forsamling; jeg vil betale mine Løfter i Paasyn af dem, som frygte ham.
27 Miisho yote ya dunia itakumbuka na kumgeukia Bwana, nazo jamaa zote za mataifa watasujudu mbele zake,
De sagtmodige skulle æde og mættes, Herren skal prises af dem, som søge ham; eders Hjerter leve altid!
28 kwa maana ufalme ni wa Bwana naye hutawala juu ya mataifa.
Alle Verdens Ender skulle komme det i Hu og omvende sig til Herren; og alle Hedningernes Slægter skulle tilbede for dit Ansigt.
29 Matajiri wote wa dunia watasherehekea na kuabudu. Wote waendao mavumbini watapiga magoti mbele yake, wote ambao hawawezi kudumisha uhai wao.
Thi Riget hører Herren til, og han hersker over Hedningerne.
30 Wazao wa baadaye watamtumikia yeye; vizazi vijavyo vitajulishwa habari za Bwana.
Alle mægtige paa Jorden skulle æde og tilbede; for ham skulle alle de bøje sig, som sank i Muld, og den, som ikke kunde holde sin Sjæl i Live.
31 Watatangaza haki yake kwa watu ambao hawajazaliwa bado, kwa maana yeye ametenda hili.
Efterkommerne skulle tjene ham; der skal fortælles om Herren til Efterslægten. De skulle komme og forkynde hans Retfærdighed for det Folk, som bliver født; thi han har gjort det.