< Zaburi 20 >

1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Bwana na akujibu unapokuwa katika dhiki, jina la Mungu wa Yakobo na liwe kinga yako.
IEOWA en kotin mani om kapakap ni ran apwal o; mar en Kot en Iakop en pera uk!
2 Na akutumie msaada kutoka patakatifu na akupatie msaada kutoka Sayuni.
A en kotin porone don uk jauaj pam jan nan tanpaj jaraui o kamana uk ada jan nan Jion.
3 Na azikumbuke dhabihu zako zote, na azikubali sadaka zako za kuteketezwa.
A en kotin kupura om mairon karoj, o om mairon ijij en konkon re a.
4 Na akujalie haja ya moyo wako, na aifanikishe mipango yako yote.
A en kotiki on uk, me monion om anane, o kotin kapaiada om inon karoj.
5 Tutashangilia kwa furaha utakaposhinda, tutainua bendera zetu kwa jina la Mungu wetu. Bwana na akupe haja zako zote.
Je pan nijinijki omui jauaja kit, o ni mar en atail Kot kit pan kida at plak. Ieowa en kotin kapwaiada om poekipoek karoj!
6 Sasa nafahamu kuwa Bwana humwokoa mpakwa mafuta wake, humjibu kutoka mbingu yake takatifu kwa nguvu za wokovu wa mkono wake wa kuume.
I ap ajaer, me Ieowa kin kotin dorela japwilim a me keiedier, o a pan mani i jan nan japwilim a lan jaraui, lim a pali maun kin jauaja kaualap.
7 Wengine wanatumaini magari ya vita, na wengine farasi, bali sisi tutalitumainia jina la Bwana, Mungu wetu.
Mo kan kin kaporoporeki war o oj akan; a kit kin keleki mar en Ieowa atail Kot.
8 Wao wameshushwa chini na kuanguka, bali sisi tunainuka na kusimama imara.
Irail lodier o pupedier, a kit uda o kajinenda.
9 Ee Bwana, mwokoe mfalme! Tujibu tunapokuita!
Main kom kotin jauaja nanmarki o, o kotin mani at likwir on komui!

< Zaburi 20 >