< Zaburi 2 >

1 Kwa nini mataifa wanashauriana kufanya mabaya, na kabila za watu kula njama bure?
Nedir uluslar arasındaki bu kargaşa, Neden boş düzenler kurar bu halklar?
2 Wafalme wa dunia wanajipanga na watawala wanajikusanya pamoja dhidi ya Bwana na dhidi ya Mpakwa Mafuta wake.
Dünyanın kralları saf bağlıyor, Hükümdarlar birleşiyor RAB'be ve meshettiği krala karşı.
3 Wanasema, “Tuvunje minyororo yao na kuvitupilia mbali vifungo vyao.”
“Koparalım onların kayışlarını” diyorlar, “Atalım üzerimizden bağlarını.”
4 Yeye atawalaye mbinguni hucheka, Bwana huwadharau.
Göklerde oturan Rab gülüyor, Onlarla eğleniyor.
5 Kisha huwakemea katika hasira yake na kuwaogopesha katika ghadhabu yake, akisema,
Sonra öfkeyle uyarıyor onları, Gazabıyla dehşete düşürüyor
6 “Nimemtawaza Mfalme wangu juu ya Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”
Ve, “Ben kralımı Kutsal dağım Siyon'a oturttum” diyor.
7 Nitatangaza amri ya Bwana: Yeye aliniambia, “Wewe ni Mwanangu, leo mimi nimekuzaa.
RAB'bin bildirisini ilan edeceğim: Bana, “Sen benim oğlumsun” dedi, “Bugün ben sana baba oldum.
8 Niombe, nami nitayafanya mataifa kuwa urithi wako, miisho ya dunia kuwa milki yako.
Dile benden, miras olarak sana ulusları, Mülk olarak yeryüzünün dört bucağını vereyim.
9 Utawatawala kwa fimbo ya chuma na kuwavunjavunja kama chombo cha mfinyanzi.”
Demir çomakla kıracaksın onları, Çömlek gibi parçalayacaksın.”
10 Kwa hiyo, ninyi wafalme, kuweni na hekima; mwonyeke, enyi watawala wa dunia.
Ey krallar, akıllı olun! Ey dünya önderleri, ders alın!
11 Mtumikieni Bwana kwa hofu na mshangilie kwa kutetemeka.
RAB'be korkuyla hizmet edin, Titreyerek sevinin.
12 Mbusu Mwana, asije akakasirika nawe ukaangamizwa katika njia yako, kwa maana hasira yake inaweza kuwaka ghafula. Heri wote wanaomkimbilia.
Oğulu öpün ki öfkelenmesin, Yoksa izlediğiniz yolda mahvolursunuz. Çünkü öfkesi bir anda alevleniverir. Ne mutlu O'na sığınanlara!

< Zaburi 2 >