< Zaburi 2 >

1 Kwa nini mataifa wanashauriana kufanya mabaya, na kabila za watu kula njama bure?
Pourquoi se démènent les peuples, et les nations agitent-elles de vains projets?
2 Wafalme wa dunia wanajipanga na watawala wanajikusanya pamoja dhidi ya Bwana na dhidi ya Mpakwa Mafuta wake.
Les rois de la terre se soulèvent, les princes se liguent ensemble contre l’Eternel et son oint.
3 Wanasema, “Tuvunje minyororo yao na kuvitupilia mbali vifungo vyao.”
"Brisons disent-ils leurs liens. Rejetons loin de nous leurs chaînes!"
4 Yeye atawalaye mbinguni hucheka, Bwana huwadharau.
Celui qui réside dans les cieux en rit, le Seigneur se raille d’eux.
5 Kisha huwakemea katika hasira yake na kuwaogopesha katika ghadhabu yake, akisema,
Puis il les apostrophe dans sa colère et, dans son courroux, il les terrifie:
6 “Nimemtawaza Mfalme wangu juu ya Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”
"C’Est moi dit-il qui ai consacré mon roi sur Sion, ma montagne sainte!"
7 Nitatangaza amri ya Bwana: Yeye aliniambia, “Wewe ni Mwanangu, leo mimi nimekuzaa.
Je veux proclamer ce qui est une loi immuable: "L’Eternel m’a dit: Tu es mon fils, c’est moi qui, aujourd’hui, t’ai engendré!
8 Niombe, nami nitayafanya mataifa kuwa urithi wako, miisho ya dunia kuwa milki yako.
Demande-le-moi, et je te donnerai des peuples comme héritage, les confins de la terre pour domaine.
9 Utawatawala kwa fimbo ya chuma na kuwavunjavunja kama chombo cha mfinyanzi.”
Tu les briseras avec un sceptre de fer, tu les broieras comme un vase de potier."
10 Kwa hiyo, ninyi wafalme, kuweni na hekima; mwonyeke, enyi watawala wa dunia.
Et maintenant, ô rois, sachez comprendre, tenez-vous pour avertis, juges de la terre!
11 Mtumikieni Bwana kwa hofu na mshangilie kwa kutetemeka.
Adorez l’Eternel avec crainte, et réjouissez-vous en Dieu avec tremblement.
12 Mbusu Mwana, asije akakasirika nawe ukaangamizwa katika njia yako, kwa maana hasira yake inaweza kuwaka ghafula. Heri wote wanaomkimbilia.
Rendez hommage au fils, de peur qu’il ne s’indigne, et que vous n’alliez a votre perte; car bien vite sa colère prend feu: heureux tous ceux qui s’abritent en lui!

< Zaburi 2 >