< Zaburi 2 >
1 Kwa nini mataifa wanashauriana kufanya mabaya, na kabila za watu kula njama bure?
Hvorfor fnyser Hedninger, hvi pønser Folkefærd paa, hvad faafængt er?
2 Wafalme wa dunia wanajipanga na watawala wanajikusanya pamoja dhidi ya Bwana na dhidi ya Mpakwa Mafuta wake.
Jordens Konger rejser sig, Fyrster samles til Raad mod HERREN og mod hans Salvede:
3 Wanasema, “Tuvunje minyororo yao na kuvitupilia mbali vifungo vyao.”
»Lad os sprænge deres Baand og kaste Rebene af os!«
4 Yeye atawalaye mbinguni hucheka, Bwana huwadharau.
Han, som troner i Himlen, ler, Herren, han spotter dem.
5 Kisha huwakemea katika hasira yake na kuwaogopesha katika ghadhabu yake, akisema,
Saa taler han til dem i Vrede, forfærder dem i sin Harme:
6 “Nimemtawaza Mfalme wangu juu ya Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”
»Jeg har dog indsat min Konge paa Zion, mit hellige Bjerg!«
7 Nitatangaza amri ya Bwana: Yeye aliniambia, “Wewe ni Mwanangu, leo mimi nimekuzaa.
Jeg kundgør HERRENS Tilsagn. Han sagde til mig: »Du er min Søn, jeg har født dig i Dag!
8 Niombe, nami nitayafanya mataifa kuwa urithi wako, miisho ya dunia kuwa milki yako.
Bed mig, og jeg giver dig Hedningefolk til Arv og den vide Jord i Eje;
9 Utawatawala kwa fimbo ya chuma na kuwavunjavunja kama chombo cha mfinyanzi.”
med Jernspir skal du knuse dem og sønderslaa dem som en Pottemagers Kar!«
10 Kwa hiyo, ninyi wafalme, kuweni na hekima; mwonyeke, enyi watawala wa dunia.
Og nu, I Konger, vær kloge, lad eder raade, I Jordens Dommere,
11 Mtumikieni Bwana kwa hofu na mshangilie kwa kutetemeka.
tjener HERREN i Frygt, fryd jer med Bæven!
12 Mbusu Mwana, asije akakasirika nawe ukaangamizwa katika njia yako, kwa maana hasira yake inaweza kuwaka ghafula. Heri wote wanaomkimbilia.
Kysser Sønnen, at ikke han vredes og I forgaar! Snart blusser hans Vrede op. Salig hver den, der lider paa ham!