< Zaburi 2 >

1 Kwa nini mataifa wanashauriana kufanya mabaya, na kabila za watu kula njama bure?
Zašto se bune narodi, zašto puci ludosti snuju?
2 Wafalme wa dunia wanajipanga na watawala wanajikusanya pamoja dhidi ya Bwana na dhidi ya Mpakwa Mafuta wake.
Ustaju kraljevi zemaljski, knezovi se rotÄe protiv Jahve i Pomazanika njegova:
3 Wanasema, “Tuvunje minyororo yao na kuvitupilia mbali vifungo vyao.”
“Skršimo okove njihove i jaram njihov zbacimo!”
4 Yeye atawalaye mbinguni hucheka, Bwana huwadharau.
Smije se onaj što na nebu stoluje, Gospod im se podruguje.
5 Kisha huwakemea katika hasira yake na kuwaogopesha katika ghadhabu yake, akisema,
Tad im veli u svom gnjevu, žestinom ih on zbunjuje:
6 “Nimemtawaza Mfalme wangu juu ya Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”
“TÓa ja kralja svog postavih nad Sionom, svojom svetom gorom.”
7 Nitatangaza amri ya Bwana: Yeye aliniambia, “Wewe ni Mwanangu, leo mimi nimekuzaa.
Obznanjujem odluku Jahvinu: Gospodin mi reče: “Ti si sin moj, danas te rodih.
8 Niombe, nami nitayafanya mataifa kuwa urithi wako, miisho ya dunia kuwa milki yako.
Zatraži samo, i dat ću ti puke u baštinu, i u posjed krajeve zemaljske.
9 Utawatawala kwa fimbo ya chuma na kuwavunjavunja kama chombo cha mfinyanzi.”
Vladat ćeš njima palicom gvozdenÄom i razbit ih kao sud lončarski.”
10 Kwa hiyo, ninyi wafalme, kuweni na hekima; mwonyeke, enyi watawala wa dunia.
Opametite se sada, vi kraljevi, Urazumite se, suci zemaljski.
11 Mtumikieni Bwana kwa hofu na mshangilie kwa kutetemeka.
Služite Jahvi sa strahom, s trepetom se pokorite njemu,
12 Mbusu Mwana, asije akakasirika nawe ukaangamizwa katika njia yako, kwa maana hasira yake inaweza kuwaka ghafula. Heri wote wanaomkimbilia.
da se ne razgnjevi te ne propadnete na putu, kad uskoro plane srdžba njegova. Blago svima koji se njemu utječu!

< Zaburi 2 >