< Zaburi 19 >

1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Mbingu zinatangaza utukufu wa Mungu, anga zahubiri kazi ya mikono yake.
برای رهبر سرایندگان. مزمور داوود. آسمان از شکوه و عظمت خدا حکایت می‌کند و صنعت دستهای او را نشان می‌دهد.
2 Siku baada ya siku zinatoa habari, usiku baada ya usiku zinatangaza maarifa.
روز و شب حکمت خدا را اعلام می‌کنند.
3 Hakuna msemo wala lugha, ambapo sauti zao hazisikiki.
بی سر و صدا سخن می‌گویند، و آوازشان شنیده نمی‌شود؛
4 Sauti yao imeenea duniani pote, nayo maneno yao yameenea hadi miisho ya ulimwengu. Katika mbingu amepiga hema kwa ajili ya jua,
با این همه، پیامشان به سراسر زمین منتشر می‌گردد، و کلامشان تا به کرانهای جهان می‌رسد. خدا خیمه‌ای در آسمان برای خورشید بر پا کرده است.
5 linafanana na bwana arusi akitoka chumbani mwake, kama shujaa afurahiavyo kukamilisha kushindana kwake.
خورشید مانند تازه داماد، با خوشحالی از حجله بیرون می‌آید و مانند پهلوان شادمانه در میدان می‌دود.
6 Huchomoza upande mmoja wa mbingu, na kufanya mzunguko wake hadi upande mwingine. Hakuna kilichojificha joto lake.
از یک سوی آسمان به سوی دیگر می‌شتابد، و حرارتش همه جا را فرا می‌گیرد.
7 Sheria ya Bwana ni kamilifu, ikihuisha nafsi. Shuhuda za Bwana ni za kuaminika, zikimpa mjinga hekima.
احکام خداوند کامل است و جان را تازه می‌سازد، کلام خداوند قابل اعتماد است و به ساده‌دلان حکمت می‌بخشد.
8 Maagizo ya Bwana ni kamili, nayo hufurahisha moyo. Amri za Bwana huangaza, zatia nuru machoni.
فرامین خداوند راست است و دل را شاد می‌سازد، اوامر خداوند پاک است و بصیرت می‌بخشد.
9 Kumcha Bwana ni utakatifu, nako kwadumu milele. Amri za Bwana ni za hakika, nazo zina haki.
قوانین خداوند قابل احترام و نیکوست و تا ابد برقرار می‌ماند. احکام خداوند تماماً حق و عدل است،
10 Ni za thamani kuliko dhahabu, kuliko dhahabu iliyo safi sana, ni tamu kuliko asali, kuliko asali kutoka kwenye sega.
از طلای ناب مرغوبتر و از عسل خالص شیرینتر.
11 Kwa hizo mtumishi wako anaonywa, katika kuzishika kuna thawabu kubwa.
احکام تو، بنده‌ات را آگاه و هوشیار می‌سازد و هر که آنها را بجا آورد، پاداش عظیمی خواهد یافت.
12 Ni nani awezaye kutambua makosa yake? Nisamehe makosa yangu nisiyoyajua.
کیست که بتواند به گناهان نهان خود پی ببرد؟ خداوندا، تو مرا از چنین گناهان پاک ساز!
13 Mlinde mtumishi wako na dhambi za makusudi, nazo zisinitawale. Ndipo nitakapokuwa sina lawama, wala sitakuwa na hatia ya kosa kubwa.
و نیز مرا از گناهان عمدی بازدار و نگذار بر من مسلط شوند. آنگاه خواهم توانست از شر گناه آزاد شده، بی‌عیب باشم.
14 Maneno ya kinywa changu na mawazo ya moyo wangu, yapate kibali mbele zako, Ee Bwana, Mwamba wangu na Mkombozi wangu.
ای خداوند، ای پناهگاه و نجا‌ت‌دهندۀ من، سخنان دهانم و تفکر دلم مورد پسند تو باشند.

< Zaburi 19 >