< Zaburi 19 >
1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Mbingu zinatangaza utukufu wa Mungu, anga zahubiri kazi ya mikono yake.
Y langet munaclaro y minalag Yuus; ya y fineda mamanue y checho canaeña.
2 Siku baada ya siku zinatoa habari, usiku baada ya usiku zinatangaza maarifa.
Y un jaane yan y otro jaane masangang y finijo, ya y un puenge ya y otro puenge mamanue tiningo.
3 Hakuna msemo wala lugha, ambapo sauti zao hazisikiki.
Taya sinangan, ni finijo; ti siña umajungog y vosñija.
4 Sauti yao imeenea duniani pote, nayo maneno yao yameenea hadi miisho ya ulimwengu. Katika mbingu amepiga hema kwa ajili ya jua,
Ya gui todo y tano jumanao y rayaña, ya asta uttimon y tano y finoña: ya japolo tabernaculo para atdao guiya sija.
5 linafanana na bwana arusi akitoka chumbani mwake, kama shujaa afurahiavyo kukamilisha kushindana kwake.
Ya güiya taegüije y nobio ni jumujuyong guinin y cuattoña, ya jamagof taegüije y matatnga na taotao, para ufalago gui finalago.
6 Huchomoza upande mmoja wa mbingu, na kufanya mzunguko wake hadi upande mwingine. Hakuna kilichojificha joto lake.
Y jinanaoña guinin un punta gui langet, ya y linilicoña asta y uttimoña: ya taya jaye uatog ni y minaepeña.
7 Sheria ya Bwana ni kamilifu, ikihuisha nafsi. Shuhuda za Bwana ni za kuaminika, zikimpa mjinga hekima.
Y lay Jeova cabales, jafamauleg y ante; y testimonion Jeova seguro, janafanmalalate y manaeisao.
8 Maagizo ya Bwana ni kamili, nayo hufurahisha moyo. Amri za Bwana huangaza, zatia nuru machoni.
Y finañagüe Jeova tunas, janafanmamagof y corason: y tinago Jeova claro, janafanmalag y atadogsija.
9 Kumcha Bwana ni utakatifu, nako kwadumu milele. Amri za Bwana ni za hakika, nazo zina haki.
Y minaañao as Jeova gasgas, sumaga para taejinecog; y sentensian Jeova magajet, ya todo tunas.
10 Ni za thamani kuliko dhahabu, kuliko dhahabu iliyo safi sana, ni tamu kuliko asali, kuliko asali kutoka kwenye sega.
Na malago mas que y oro, magajet mas que y megae na oro ni y manfino: mames mas que y miet, que y titijo gui sagan miet.
11 Kwa hizo mtumishi wako anaonywa, katika kuzishika kuna thawabu kubwa.
Y tentagomo locue mapagat yan sija: ya yaguin jaadaje sija y uguaja dangculo na apas.
12 Ni nani awezaye kutambua makosa yake? Nisamehe makosa yangu nisiyoyajua.
Ya y linachiña jaye utiningo? ya y linache na ti jutungo, nalibreyo.
13 Mlinde mtumishi wako na dhambi za makusudi, nazo zisinitawale. Ndipo nitakapokuwa sina lawama, wala sitakuwa na hatia ya kosa kubwa.
Unmantiene locue y tentagomo guinin y sobetbio na isao: ya munga mangae ninasiñañija guiya guajo: ayo nae cabalesyo ya gasgas yo guinin y dangculo na quinebrantan y tinago.
14 Maneno ya kinywa changu na mawazo ya moyo wangu, yapate kibali mbele zako, Ee Bwana, Mwamba wangu na Mkombozi wangu.
Polo ya y sinangang y pachotto ya y jinason y corasonjo umauleg gui menamo, O Jeova, minetgotto yan y munalilibreyo.