< Zaburi 17 >

1 Sala ya Daudi. Sikia, Ee Bwana, kusihi kwangu kwa haki, sikiliza kilio changu. Tega sikio kwa ombi langu, halitoki kwenye midomo ya udanganyifu.
Uma Oração de David. Ouça, Yahweh, meu justo apelo. Dê ouvidos à minha oração que não saia de lábios enganosos.
2 Hukumu yangu na itoke kwako, macho yako na yaone yale yaliyo haki.
Let minha frase sai de sua presença. Deixe que seus olhos olhem para a equidade.
3 Ingawa unauchunguza moyo wangu na kunikagua usiku, ingawa umenijaribu, hutaona chochote. Nimeamua kwamba kinywa changu hakitatenda dhambi.
Você provou meu coração. Você me visitou durante a noite. Você já me tentou e não encontrou nada. Resolvi que minha boca não deve desobedecer.
4 Kuhusu matendo ya wanadamu: kwa neno la midomo yako, nimejiepusha na njia za wenye jeuri.
Quanto aos atos dos homens, pela palavra de seus lábios, Eu me mantive longe dos caminhos da violência.
5 Hatua zangu zimeshikamana na njia zako; nyayo zangu hazikuteleza.
Meus passos se mantiveram firmes em seus caminhos. Meus pés não escorregaram.
6 Ee Mungu, ninakuita, kwa kuwa utanijibu, nitegee sikio lako na usikie ombi langu.
Eu o chamei, pois me responderá, Deus. Vire seu ouvido para mim. Ouça meu discurso.
7 Uonyeshe ajabu ya upendo wako mkuu, wewe uokoaye kwa mkono wako wa kuume wale wanaokukimbilia kutokana na adui zao.
Mostre sua maravilhosa gentileza amorosa, você que salva aqueles que se refugiam por sua mão direita de seus inimigos.
8 Nilinde kama mboni ya jicho lako, unifiche chini ya kivuli cha mbawa zako
Mantenha-me como a maçã de seu olho. Esconda-me sob a sombra de suas asas,
9 kutokana na waovu wanaonishambulia, kutokana na adui wauaji wanaonizunguka.
dos ímpios que me oprimem, meus inimigos mortais, que me cercam.
10 Huifunga mioyo yao iliyo migumu, vinywa vyao hunena kwa majivuno.
Eles fecham seus corações insensíveis. Com a boca eles falam com orgulho.
11 Wamenifuatia nyayo zangu, sasa wamenizingira, wakiwa macho, waniangushe chini.
Eles agora nos cercaram em nossos passos. Eles colocaram seus olhos para nos lançar para a terra.
12 Wamefanana na simba mwenye njaa awindaye, kama simba mkubwa anyemeleaye mafichoni.
Ele é como um leão ganancioso de suas presas, como se fosse um jovem leão escondido em lugares secretos.
13 Inuka, Ee Bwana, pambana nao, uwaangushe, niokoe kutokana na waovu kwa upanga wako.
Levanta-te, Yahweh, confronta-o. Lance-o para baixo. Liberta minha alma dos ímpios por tua espada,
14 Ee Bwana, mkono wako uniokoe na watu wa jinsi hii, kutokana na watu wa ulimwengu huu ambao fungu lao liko katika maisha haya. Na wapate adhabu ya kuwatosha. Watoto wao na wapate zaidi ya hayo, hukumu na iendelee kwa watoto wa watoto wao.
de homens por sua mão, Yahweh, de homens do mundo, cuja porção está nesta vida. Você enche a barriga de seus queridos. Seus filhos têm muito, e eles armazenam riqueza para seus filhos.
15 Na mimi katika haki nitauona uso wako, niamkapo, nitaridhika kwa kuona sura yako.
Quanto a mim, verei seu rosto em retidão. Ficarei satisfeito, quando acordar, em ver sua forma.

< Zaburi 17 >