< Zaburi 17 >
1 Sala ya Daudi. Sikia, Ee Bwana, kusihi kwangu kwa haki, sikiliza kilio changu. Tega sikio kwa ombi langu, halitoki kwenye midomo ya udanganyifu.
En bønn av David. Hør, Herre, på rettferdighet, merk på mitt klagerop, vend øret til min bønn fra leber uten svik!
2 Hukumu yangu na itoke kwako, macho yako na yaone yale yaliyo haki.
La min rett gå ut fra ditt åsyn, dine øine skue hvad rett er!
3 Ingawa unauchunguza moyo wangu na kunikagua usiku, ingawa umenijaribu, hutaona chochote. Nimeamua kwamba kinywa changu hakitatenda dhambi.
Du har prøvd mitt hjerte, gjestet det om natten, du har ransaket mig, du fant intet; min munn viker ikke av fra mine tanker.
4 Kuhusu matendo ya wanadamu: kwa neno la midomo yako, nimejiepusha na njia za wenye jeuri.
Mot menneskenes gjerninger har jeg efter dine lebers ord tatt mig i vare for voldsmannens stier.
5 Hatua zangu zimeshikamana na njia zako; nyayo zangu hazikuteleza.
Mine skritt holdt fast ved dine fotspor, mine trin vaklet ikke.
6 Ee Mungu, ninakuita, kwa kuwa utanijibu, nitegee sikio lako na usikie ombi langu.
Jeg roper til dig, for du svarer mig, Gud! Bøi ditt øre til mig, hør mitt ord!
7 Uonyeshe ajabu ya upendo wako mkuu, wewe uokoaye kwa mkono wako wa kuume wale wanaokukimbilia kutokana na adui zao.
Vis din miskunnhet i underfulle gjerninger, du som med din høire hånd frelser dem som flyr til dig, fra deres motstandere!
8 Nilinde kama mboni ya jicho lako, unifiche chini ya kivuli cha mbawa zako
Vokt mig som din øiesten, skjul under dine vingers skygge
9 kutokana na waovu wanaonishambulia, kutokana na adui wauaji wanaonizunguka.
for de ugudelige, som ødelegger mig, mine dødsfiender, som omringer mig!
10 Huifunga mioyo yao iliyo migumu, vinywa vyao hunena kwa majivuno.
Sitt fete hjerte lukker de til, med sin munn taler de overmodig.
11 Wamenifuatia nyayo zangu, sasa wamenizingira, wakiwa macho, waniangushe chini.
Hvor vi går, kringsetter de mig nu; sine øine retter de på å felle mig til jorden.
12 Wamefanana na simba mwenye njaa awindaye, kama simba mkubwa anyemeleaye mafichoni.
Han er lik en løve som stunder efter å sønderrive, og en ung løve som ligger på lønnlige steder.
13 Inuka, Ee Bwana, pambana nao, uwaangushe, niokoe kutokana na waovu kwa upanga wako.
Reis dig, Herre, tred ham i møte, slå ham ned, frels min sjel fra den ugudelige med ditt sverd,
14 Ee Bwana, mkono wako uniokoe na watu wa jinsi hii, kutokana na watu wa ulimwengu huu ambao fungu lao liko katika maisha haya. Na wapate adhabu ya kuwatosha. Watoto wao na wapate zaidi ya hayo, hukumu na iendelee kwa watoto wa watoto wao.
fra menneskene med din hånd, Herre, fra denne verdens mennesker, som har sin del i livet, og hvis buk du fyller med dine skatter, som er rike på sønner og efterlater sin overflod til sine barn.
15 Na mimi katika haki nitauona uso wako, niamkapo, nitaridhika kwa kuona sura yako.
Jeg skal i rettferdighet skue ditt åsyn, jeg skal, når jeg våkner, mettes ved din skikkelse.