< Zaburi 17 >

1 Sala ya Daudi. Sikia, Ee Bwana, kusihi kwangu kwa haki, sikiliza kilio changu. Tega sikio kwa ombi langu, halitoki kwenye midomo ya udanganyifu.
Prière de David. Ecoute, ô Seigneur, ma juste demande, exauce ma supplication, prête l’oreille à ma prière, sortant de lèvres non trompeuses.
2 Hukumu yangu na itoke kwako, macho yako na yaone yale yaliyo haki.
C’Est de toi qu’émanera mon bon droit: tes yeux discernent ce qui est équitable.
3 Ingawa unauchunguza moyo wangu na kunikagua usiku, ingawa umenijaribu, hutaona chochote. Nimeamua kwamba kinywa changu hakitatenda dhambi.
Tu sondes mon cœur, tu m’examines pendant la nuit, tu me mets à l’épreuve, sans trouver en moi aucune pensée qui ne doive passer par ma bouche.
4 Kuhusu matendo ya wanadamu: kwa neno la midomo yako, nimejiepusha na njia za wenye jeuri.
Guidé par les paroles de tes lèvres, j’observe les actions des hommes, les voies des gens violents.
5 Hatua zangu zimeshikamana na njia zako; nyayo zangu hazikuteleza.
Affermis mes pas dans tes sentiers, pour que mes pieds ne glissent point.
6 Ee Mungu, ninakuita, kwa kuwa utanijibu, nitegee sikio lako na usikie ombi langu.
Je t’appelle, car tu me réponds, ô Dieu! Prête-moi l’oreille, entends mes paroles.
7 Uonyeshe ajabu ya upendo wako mkuu, wewe uokoaye kwa mkono wako wa kuume wale wanaokukimbilia kutokana na adui zao.
Mets en relief tes bienfaits, ô Protecteur de ceux qui se confient à ta droite, malgré les adversaires.
8 Nilinde kama mboni ya jicho lako, unifiche chini ya kivuli cha mbawa zako
Garde-moi comme la prunelle des yeux, abrite-moi à l’ombre de tes ailes,
9 kutokana na waovu wanaonishambulia, kutokana na adui wauaji wanaonizunguka.
contre les méchants qui me tyrannisent, contre mes ennemis qui me cernent avec passion.
10 Huifunga mioyo yao iliyo migumu, vinywa vyao hunena kwa majivuno.
De leur graisse ils ont bouché leur cœur; leurs lèvres s’expriment avec orgueil.
11 Wamenifuatia nyayo zangu, sasa wamenizingira, wakiwa macho, waniangushe chini.
A chacun de nos pas, les voilà qui se pressent autour de nous; ils ont les yeux sur nous pour nous étendre à terre,
12 Wamefanana na simba mwenye njaa awindaye, kama simba mkubwa anyemeleaye mafichoni.
pareils au lion avide de déchirer, au lionceau qui se tient en embuscade.
13 Inuka, Ee Bwana, pambana nao, uwaangushe, niokoe kutokana na waovu kwa upanga wako.
Lève-toi, Seigneur, préviens ses desseins, fais-lui ployer le genou; par ton glaive, sauve ma vie du méchant.
14 Ee Bwana, mkono wako uniokoe na watu wa jinsi hii, kutokana na watu wa ulimwengu huu ambao fungu lao liko katika maisha haya. Na wapate adhabu ya kuwatosha. Watoto wao na wapate zaidi ya hayo, hukumu na iendelee kwa watoto wa watoto wao.
Par ta main, ô Eternel, sauve-moi de ces gens, de ces gens esclaves du monde, qui jouissent largement de la vie, dont tu bourres le ventre de tes biens, dont les enfants ont tout en abondance et laissent leur superflu à leur progéniture.
15 Na mimi katika haki nitauona uso wako, niamkapo, nitaridhika kwa kuona sura yako.
Quant à moi, puissé-je, grâce à ma droiture, contempler ta face et, à mon réveil, me rassasier de ta vue!

< Zaburi 17 >