< Zaburi 16 >

1 Utenzi wa Daudi. Ee Mungu, uniweke salama, kwa maana kwako nimekimbilia.
Guárdame, oh Dios, porque en ti he puesto mi fe.
2 Nilimwambia Bwana, “Wewe ndiwe Bwana wangu; pasipo wewe sina jambo jema.”
Oh alma mía, dijiste al Señor: Tú eres mi Señor; mi bien, nada es comparable a ti.
3 Kwa habari ya watakatifu walioko duniani, ndio walio wa fahari ambao ninapendezwa nao.
En cuanto a los santos que están en la tierra, y los íntegros está todo mi deleite.
4 Huzuni itaongezeka kwa wale wanaokimbilia miungu mingine. Sitazimimina sadaka zao za damu au kutaja majina yao midomoni mwangu.
¡Se aumentarán sus dolores, quienes irán tras otro dios; jamás seré parte de sus sacrificios sangrientos! ni pronunciaré sus nombres con mis labios.
5 Bwana umeniwekea fungu langu na kikombe changu; umeyafanya mambo yangu yote yawe salama.
Tú Señor eres la porción de mi herencia y de mi copa, Tú me colmas de bendiciones, mi vida está en tus manos.
6 Alama za mipaka zimeniangukia mahali pazuri, hakika nimepata urithi mzuri.
Justos son los lugares marcados para mí; la herencia que me ha tocado ha sido un patrimonio hermoso.
7 Nitamsifu Bwana ambaye hunishauri, hata wakati wa usiku moyo wangu hunifundisha.
Alabaré al Señor que ha sido mi guía; y en lo íntimo de mi ser me corrige por las noches.
8 Nimemweka Bwana mbele yangu daima. Kwa sababu yuko mkono wangu wa kuume, sitatikisika.
He puesto al Señor delante de mí todo el tiempo; porque él está en mi diestra, nada me hará caer.
9 Kwa hiyo moyo wangu unafurahia, na ulimi wangu unashangilia; mwili wangu nao utapumzika salama,
Debido a esto, mi corazón está contento, y se gozó mi alma, mi ser descansa confiadamente también.
10 kwa maana hutaniacha kaburini, wala hutamwacha Mtakatifu Wako kuona uharibifu. (Sheol h7585)
Porque no dejarás mi alma en él sepulcro; no dejarás que tu santo vea corrupción. (Sheol h7585)
11 Umenijulisha njia ya uzima; utanijaza na furaha mbele zako, pamoja na furaha za milele katika mkono wako wa kuume.
Me mostrarás el camino de la vida; donde estás, la alegría está completa; en tu diestra hay placeres, dichas, delicias por los siglos de los siglos.

< Zaburi 16 >