< Zaburi 16 >

1 Utenzi wa Daudi. Ee Mungu, uniweke salama, kwa maana kwako nimekimbilia.
Odlična pesem Davidova. Reši me, Bog mogočni; ker k tebi pribegam:
2 Nilimwambia Bwana, “Wewe ndiwe Bwana wangu; pasipo wewe sina jambo jema.”
Gospodu govoriš: Gospod si moj, blaga mojega ne bodeš hranil pri sebi:
3 Kwa habari ya watakatifu walioko duniani, ndio walio wa fahari ambao ninapendezwa nao.
Svetim, ki so v deželi in veličastnim ga podeliš; na katerih je vse razveseljevanje moje.
4 Huzuni itaongezeka kwa wale wanaokimbilia miungu mingine. Sitazimimina sadaka zao za damu au kutaja majina yao midomoni mwangu.
Njim množijo bolečine kateri drugemu delé; daroval ne bodem njih krvavih daritev, ne jemal njih imen na ustne svoje.
5 Bwana umeniwekea fungu langu na kikombe changu; umeyafanya mambo yangu yote yawe salama.
Gospod je delež pristave moje in mojega ljudstva; ti vzdržuješ osodo mojo.
6 Alama za mipaka zimeniangukia mahali pazuri, hakika nimepata urithi mzuri.
Mérne vrvi so mi pale v preprijetnih krajih; tudi posestvo je sprelepo, katero me je doletelo.
7 Nitamsifu Bwana ambaye hunishauri, hata wakati wa usiku moyo wangu hunifundisha.
Blagoslavljal bodem Gospoda, kateri mi je dal sovèt; tudi ponoči me podučujejo obisti moje.
8 Nimemweka Bwana mbele yangu daima. Kwa sababu yuko mkono wangu wa kuume, sitatikisika.
Predočujem si Gospoda neprestano; ker je na desnici moji, ne omahnem.
9 Kwa hiyo moyo wangu unafurahia, na ulimi wangu unashangilia; mwili wangu nao utapumzika salama,
Zatorej se veseli srce moje in raduje se slava moja; tudi meso moje prebiva brez skrbi.
10 kwa maana hutaniacha kaburini, wala hutamwacha Mtakatifu Wako kuona uharibifu. (Sheol h7585)
Ker duše moje ne bodeš pustil v grobu, ne pripustil ljubljencu svojemu, da vidi trohnobo. (Sheol h7585)
11 Umenijulisha njia ya uzima; utanijaza na furaha mbele zako, pamoja na furaha za milele katika mkono wako wa kuume.
Naznanjaš mi življenja stezo; najslajših radosti obilost pred obličjem tvojim, na desnici tvoji vekomaj.

< Zaburi 16 >