< Zaburi 16 >

1 Utenzi wa Daudi. Ee Mungu, uniweke salama, kwa maana kwako nimekimbilia.
Guarda-me, ó Deus, porque em ti confio.
2 Nilimwambia Bwana, “Wewe ndiwe Bwana wangu; pasipo wewe sina jambo jema.”
A minha alma disse ao Senhor: Tu és o meu Senhor, a minha bondade não chega á tua presença,
3 Kwa habari ya watakatifu walioko duniani, ndio walio wa fahari ambao ninapendezwa nao.
Mas aos sanctos que estão na terra, e aos illustres em quem está todo o meu prazer.
4 Huzuni itaongezeka kwa wale wanaokimbilia miungu mingine. Sitazimimina sadaka zao za damu au kutaja majina yao midomoni mwangu.
As dôres se multiplicarão áquelles que fazem offerendas a outro deus; eu não offerecerei as suas libações de sangue, nem tomarei os seus nomes nos meus labios.
5 Bwana umeniwekea fungu langu na kikombe changu; umeyafanya mambo yangu yote yawe salama.
O Senhor é a porção da minha herança e do meu calix: tu sustentas a minha sorte.
6 Alama za mipaka zimeniangukia mahali pazuri, hakika nimepata urithi mzuri.
As linhas caem-me em logares deliciosos: sim, coube-me uma formosa herança.
7 Nitamsifu Bwana ambaye hunishauri, hata wakati wa usiku moyo wangu hunifundisha.
Louvarei ao Senhor que me aconselhou: até os meus rins me ensinam de noite.
8 Nimemweka Bwana mbele yangu daima. Kwa sababu yuko mkono wangu wa kuume, sitatikisika.
Tenho posto o Senhor continuamente diante de mim: por isso que elle está á minha mão direita, nunca vacillarei.
9 Kwa hiyo moyo wangu unafurahia, na ulimi wangu unashangilia; mwili wangu nao utapumzika salama,
Portanto está alegre o meu coração e se regozija a minha gloria: tambem a minha carne repousará segura.
10 kwa maana hutaniacha kaburini, wala hutamwacha Mtakatifu Wako kuona uharibifu. (Sheol h7585)
Pois não deixarás a minha alma no inferno, nem permittirás que o teu Sancto veja corrupção. (Sheol h7585)
11 Umenijulisha njia ya uzima; utanijaza na furaha mbele zako, pamoja na furaha za milele katika mkono wako wa kuume.
Far-me-has ver a vereda da vida; na tua presença ha fartura de alegrias; á tua mão direita ha delicias perpetuamente.

< Zaburi 16 >