< Zaburi 16 >

1 Utenzi wa Daudi. Ee Mungu, uniweke salama, kwa maana kwako nimekimbilia.
Poème de David. Garde-moi, ô Dieu; car je cherche en toi mon refuge.
2 Nilimwambia Bwana, “Wewe ndiwe Bwana wangu; pasipo wewe sina jambo jema.”
J'ai dit à l'Éternel: «Tu es le Seigneur; Toi seul, tu es mon bien suprême!»
3 Kwa habari ya watakatifu walioko duniani, ndio walio wa fahari ambao ninapendezwa nao.
Et j'ai dit aux saints qui sont dans le pays: «Vous êtes les nobles âmes en qui je prends tout mon plaisir.»
4 Huzuni itaongezeka kwa wale wanaokimbilia miungu mingine. Sitazimimina sadaka zao za damu au kutaja majina yao midomoni mwangu.
Les douleurs se multiplient Pour ceux qui courent après d'autres dieux. Je n'offrirai pas leurs libations de sang, Et les noms qu'ils invoquent ne seront pas sur mes lèvres.
5 Bwana umeniwekea fungu langu na kikombe changu; umeyafanya mambo yangu yote yawe salama.
L'Éternel est ma part et mon breuvage: C'est lui qui me garde mon lot.
6 Alama za mipaka zimeniangukia mahali pazuri, hakika nimepata urithi mzuri.
Ma portion m'est échue dans des lieux agréables; Oui, j'ai un bel héritage!
7 Nitamsifu Bwana ambaye hunishauri, hata wakati wa usiku moyo wangu hunifundisha.
Je bénirai l'Éternel, qui est mon conseiller: Mon coeur m'y invite, même pendant la nuit.
8 Nimemweka Bwana mbele yangu daima. Kwa sababu yuko mkono wangu wa kuume, sitatikisika.
J'ai l'Éternel constamment présent devant moi: Puisqu'il est à ma droite, je ne serai point ébranlé.
9 Kwa hiyo moyo wangu unafurahia, na ulimi wangu unashangilia; mwili wangu nao utapumzika salama,
C'est pourquoi mon coeur se réjouit, Et mon âme tressaille de joie; Mon corps même reposera en toute sécurité.
10 kwa maana hutaniacha kaburini, wala hutamwacha Mtakatifu Wako kuona uharibifu. (Sheol h7585)
Car tu n'abandonneras pas mon âme dans le Séjour des morts. Tu ne permettras pas que celui qui t'aime voie la corruption. (Sheol h7585)
11 Umenijulisha njia ya uzima; utanijaza na furaha mbele zako, pamoja na furaha za milele katika mkono wako wa kuume.
Tu me feras connaître le chemin de la vie. L'âme est rassasiée de joie en ta présence; Il y a des délices à ta droite, pour toujours!

< Zaburi 16 >