< Zaburi 16 >

1 Utenzi wa Daudi. Ee Mungu, uniweke salama, kwa maana kwako nimekimbilia.
Hymne de David. Garde-moi ô Dieu, car près de toi je me réfugie.
2 Nilimwambia Bwana, “Wewe ndiwe Bwana wangu; pasipo wewe sina jambo jema.”
Je dis à Yahweh: " Tu es mon Seigneur, toi seul es mon bien. "
3 Kwa habari ya watakatifu walioko duniani, ndio walio wa fahari ambao ninapendezwa nao.
Les saints qui sont dans le pays, ces illustres, sont l'objet de toute mon affection.
4 Huzuni itaongezeka kwa wale wanaokimbilia miungu mingine. Sitazimimina sadaka zao za damu au kutaja majina yao midomoni mwangu.
On multiplie les idoles, on court après les dieux étrangers; je ne répandrai point leurs libations de sang, je ne mettrai pas leurs noms sur mes lèvres.
5 Bwana umeniwekea fungu langu na kikombe changu; umeyafanya mambo yangu yote yawe salama.
Yahweh est la part de mon héritage et de ma coupe, c'est toi qui m'assures mon lot.
6 Alama za mipaka zimeniangukia mahali pazuri, hakika nimepata urithi mzuri.
Le cordeau a mesuré pour moi une portion délicieuse; oui, un splendide héritage m'est échu.
7 Nitamsifu Bwana ambaye hunishauri, hata wakati wa usiku moyo wangu hunifundisha.
Je bénis Yahweh qui m'a conseillé; la nuit même, mes reins m'avertissent.
8 Nimemweka Bwana mbele yangu daima. Kwa sababu yuko mkono wangu wa kuume, sitatikisika.
Je mets Yahweh constamment sous mes yeux, car il est à ma droite: je ne chancellerai point.
9 Kwa hiyo moyo wangu unafurahia, na ulimi wangu unashangilia; mwili wangu nao utapumzika salama,
Aussi mon cœur est dans la joie, mon âme dans l'allégresse, mon corps lui-même repose en sécurité.
10 kwa maana hutaniacha kaburini, wala hutamwacha Mtakatifu Wako kuona uharibifu. (Sheol h7585)
Car tu ne livreras pas mon âme au schéol, tu ne permettras pas que celui qui t'aime voie la corruption. (Sheol h7585)
11 Umenijulisha njia ya uzima; utanijaza na furaha mbele zako, pamoja na furaha za milele katika mkono wako wa kuume.
Tu me feras connaître le sentier de la vie; il y a plénitude de joie devant ta face, des délices éternelles dans ta droite.

< Zaburi 16 >