< Zaburi 16 >
1 Utenzi wa Daudi. Ee Mungu, uniweke salama, kwa maana kwako nimekimbilia.
ADAJE yo, O Yuus: sa iya jago nae gaegue y inangococo.
2 Nilimwambia Bwana, “Wewe ndiwe Bwana wangu; pasipo wewe sina jambo jema.”
Ylegmo, O antijo, as Jeova: jago Señotto: taya minaulegco yaguin taegüe guiya jago.
3 Kwa habari ya watakatifu walioko duniani, ndio walio wa fahari ambao ninapendezwa nao.
Ya y mañantos ni mangaegue gui tano, sija manmagas ya todo y minalagojo gaegue guiya sija.
4 Huzuni itaongezeka kwa wale wanaokimbilia miungu mingine. Sitazimimina sadaka zao za damu au kutaja majina yao midomoni mwangu.
Mumegae y piniteñija ni tumolaeca si Jeova pot otro Yuus: ti juofrese ni y inefreseñija na jâgâ, ni juchule y naanñija gui labiosso.
5 Bwana umeniwekea fungu langu na kikombe changu; umeyafanya mambo yangu yote yawe salama.
Si Jeova y patten ni y ineredajo, yan y basujo: jago mumantietiene y fottunajo.
6 Alama za mipaka zimeniangukia mahali pazuri, hakika nimepata urithi mzuri.
Ya, y fottunajo upodong gui lugat na magof: magajet na bonito na ineredajo.
7 Nitamsifu Bwana ambaye hunishauri, hata wakati wa usiku moyo wangu hunifundisha.
Jubendise si Jeova, ni y japagat yo: ya an puenge nae jafananagüe yo y jinasoco gui san jalomjo.
8 Nimemweka Bwana mbele yangu daima. Kwa sababu yuko mkono wangu wa kuume, sitatikisika.
Si Jeova jupolo gui menajo para siempre: sa yaguin gaegue güe gui agapajo, ti siña yo manacalamten.
9 Kwa hiyo moyo wangu unafurahia, na ulimi wangu unashangilia; mwili wangu nao utapumzika salama,
Enao mina magof y corasonjo ya magof y inenrajo: locue y catneco sumaga seguro.
10 kwa maana hutaniacha kaburini, wala hutamwacha Mtakatifu Wako kuona uharibifu. (Sheol )
Sa ti undingo y antijo gui naftan: ni unnae y santosmo para ulie y minitong. (Sheol )
11 Umenijulisha njia ya uzima; utanijaza na furaha mbele zako, pamoja na furaha za milele katika mkono wako wa kuume.
Unnatungoyo ni y chalan y linâlâ: binilan minagof y gaegue gui menamo: ya y agapa na canaemo guaja minagof para siempre.