< Zaburi 150 >

1 Msifuni Bwana. Msifuni Mungu katika patakatifu pake, msifuni katika mbingu zake kuu.
Alelu-JAH. Alabad a Dios en su santuario; alabadle en el extendimiento de su fortaleza.
2 Msifuni kwa matendo yake makuu, msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.
Alabadle por sus proezas; alabadle conforme a la muchedumbre de su grandeza.
3 Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta, msifuni kwa kinubi na zeze,
Alabadle a son de shofar; alabadle con salterio y arpa.
4 msifuni kwa matari na kucheza, msifuni kwa kinanda cha nyuzi na filimbi,
Alabadle con adufe y flauta; alabadle con cuerdas y órgano.
5 msifuni kwa matoazi yaliayo, msifuni kwa matoazi yavumayo sana.
Alabadle con címbalos resonantes; alabadle con címbalos de júbilo.
6 Kila chenye pumzi na kimsifu Bwana. Msifuni Bwana!
Todo lo que respira alabe a JAH. Alelu-JAH.

< Zaburi 150 >