< Zaburi 150 >

1 Msifuni Bwana. Msifuni Mungu katika patakatifu pake, msifuni katika mbingu zake kuu.
Aleluya. ALABAD á Dios en su santuario: alabadle en la extensión de su fortaleza.
2 Msifuni kwa matendo yake makuu, msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.
Alabadle por sus proezas: alabadle conforme á la muchedumbre de su grandeza.
3 Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta, msifuni kwa kinubi na zeze,
Alabadle á son de bocina: alabadle con salterio y arpa.
4 msifuni kwa matari na kucheza, msifuni kwa kinanda cha nyuzi na filimbi,
Alabadle con adufe y flauta: alabadle con cuerdas y órgano.
5 msifuni kwa matoazi yaliayo, msifuni kwa matoazi yavumayo sana.
Alabadle con címbalos resonantes: alabadle con címbalos de júbilo.
6 Kila chenye pumzi na kimsifu Bwana. Msifuni Bwana!
Todo lo que respira alabe á JAH. Aleluya.

< Zaburi 150 >