< Zaburi 150 >
1 Msifuni Bwana. Msifuni Mungu katika patakatifu pake, msifuni katika mbingu zake kuu.
Rabbiga ammaana. Ilaah ku dhex ammaana meeshiisa quduuska ah, Ku dhex ammaana samada xooggiisa.
2 Msifuni kwa matendo yake makuu, msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.
Falimihiisa waaweyn aawadood u ammaana, U ammaana si waafaqsan weynaantiisa sare.
3 Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta, msifuni kwa kinubi na zeze,
Dhawaaqa buunka ku ammaana, Oo shareerad iyo kataarad ku ammaana.
4 msifuni kwa matari na kucheza, msifuni kwa kinanda cha nyuzi na filimbi,
Ku ammaana daf iyo cayaar, Oo ku ammaana alaab xadhko leh oo muusiko ah iyo biibiile.
5 msifuni kwa matoazi yaliayo, msifuni kwa matoazi yavumayo sana.
Suxuunta laysku garaaco oo codka dheer ku ammaana, Ku ammaana suxuunta sanqadha dheer.
6 Kila chenye pumzi na kimsifu Bwana. Msifuni Bwana!
Wax kasta oo neef lahuba Rabbiga ha ammaaneen. Rabbiga ammaana.