< Zaburi 150 >
1 Msifuni Bwana. Msifuni Mungu katika patakatifu pake, msifuni katika mbingu zake kuu.
Aleluja! Hvalite Boga, mogočnega o svetosti njegovi; hvalite ga v veličastva njegovega gradu.
2 Msifuni kwa matendo yake makuu, msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.
Hvalite ga o obili mogočnosti njegovi, hvalite ga po velikem veličastvu njegovem.
3 Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta, msifuni kwa kinubi na zeze,
Hvalite ga s trombe glasom; hvalite ga z brenkljami in strunami.
4 msifuni kwa matari na kucheza, msifuni kwa kinanda cha nyuzi na filimbi,
Hvalite ga z bobnom in piščaljo, hvalite ga z orgljami.
5 msifuni kwa matoazi yaliayo, msifuni kwa matoazi yavumayo sana.
Hvalite ga s cimbali donečimi, hvalite ga sè sistri.
6 Kila chenye pumzi na kimsifu Bwana. Msifuni Bwana!
Vsaka duša hvali naj Gospoda! Aleluja!