< Zaburi 150 >
1 Msifuni Bwana. Msifuni Mungu katika patakatifu pake, msifuni katika mbingu zake kuu.
Halleluja! Lova Gud i hans heilagdom, lova honom i hans sterke kvelv!
2 Msifuni kwa matendo yake makuu, msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.
Lova honom for hans storverk, lova honom etter hans fulle storleik!
3 Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta, msifuni kwa kinubi na zeze,
Lova honom med lurljom, lova honom med harpa og cither!
4 msifuni kwa matari na kucheza, msifuni kwa kinanda cha nyuzi na filimbi,
Lova honom med trumma og dans lova honom med strengleik og fløyta!
5 msifuni kwa matoazi yaliayo, msifuni kwa matoazi yavumayo sana.
Lova honom med klingande cymblar, lova honom med ljomande cymblar!
6 Kila chenye pumzi na kimsifu Bwana. Msifuni Bwana!
Alt som hev ande, love Herren! Halleluja!